Habari wanajukwaa,
Leo katika mkutano wa kampeni wa mgombea Urais kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) ndugu John Joseph Pombe Magufuli kulikuwepo na burudani mbalimbali kutoka kwa wasanii wa bongo fleva akiwemo ndgu Ali Swalehe Kiba almaarufu kama Ali Kiba...