Pendekezo langu kwa nchi yangu ni ili

Pendekezo langu kwa nchi yangu ni ili

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Pendekezo langu kwa nchi yangu ni kuwa. Ili kuwa kiongozi wa nchi. Ni lazima utimize masharti haya
  • Cha kwanza unatakiwa uwe na kiasi cha dollars milioni 5+
  • Unatakiwa uwe na biashara halisi ambayo inakuingizia pesa Izo. Kwa ufupi uwe mfanya biashara ambaye una mafanikio
Ndo tunakupa nchi uongoze bila kutimiza masharti hayo hata tukikupa nchi huwezi kutoboa

Tumechoka kuweka nchi zetu kwenye mikono ya watu ambao hawako sahii ndo maana mpaka sasa bado Afrika ni maskini
 
Kwamba Rais wa saa hizi na waliomtangulia hawakukidhi hivyo vigezo ulivyotaja?
 
20230415_151349.jpg
 
Back
Top Bottom