Pendekezo. Mbunge mstaafu Rostam Azizi awe mfadhili wa Simba sport club

Pendekezo. Mbunge mstaafu Rostam Azizi awe mfadhili wa Simba sport club

Malaria Sugu

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2009
Posts
2,653
Reaction score
266
Club kubwa za Yanga na simba ni club zenye wachama wengi nchini.
kwa bahati yanga sasa inafadhiliwa na mbunge alienguka katika kura za maoni 2000 Jimbo la Kigamboni. baada ya kuanguka huko Yussuf manji ameingia kuifadhili club ya Yanga, tunaona manufaa yake. Yanga bingwa BARA, bingwa Kagame Cup. Imesheheni vipaji kutoka nje. hii ni kazi Iliofanywa na Manji kuendeleza soka.
naamini Aziz baada ya kustaafu ubunge(kama alivyostaafu waziri mkuu mstaafu EL) ni wazi sasa akaribishwe timu ya simba ili nayo iweze kujikwamua kifedha na ilete mataji .
 
Nasikia anapenda cricket. Labda Simba iache kucheza soccer halafu ianze kucheza cricket...
 
Atanufaika vipi yeye binafsi kwa kuifadhili simba. Ccm magamba ilimpa kagoda, epa, richmond nk. Simba itamnufaishaje yeye binafsi nauliza. ????
 
Club kubwa za Yanga na simba ni club zenye wachama wengi nchini.kwa bahati yanga sasa inafadhiliwa na mbunge alienguka katika kura za maoni 2000 Jimbo la Kigamboni. baada ya kuanguka huko Yussuf manji ameingia kuifadhili club ya Yanga, tunaona manufaa yake. Yanga bingwa BARA, bingwa Kagame Cup. Imesheheni vipaji kutoka nje. hii ni kazi Iliofanywa na Manji kuendeleza soka. naamini Aziz baada ya kustaafu ubunge(kama alivyostaafu waziri mkuu mstaafu EL) ni wazi sasa akaribishwe timu ya simba ili nayo iweze kujikwamua kifedha na ilete mataji .
Ndugu uelewe kwamba EL hakustaafu BALI alijihuzulu na kama hauelewi maana ya kustaafu ni kutumikia serikali kwa mujibu wa sheria za nchi,ipo hvyo mkuu.
 
Kwa taarifa yako, Manji siyo mfadhili tena wa yanga. Ubingwa wa bara na CECAFA umepatikana baada ya Manji kujiuzulu
 
Back
Top Bottom