Wenyeji chukua timu ya CHAN iliyopo Cameron mwongeze Tshabalala. WageniHabari wadau...
Nitoe pendekezo kwa Mamlaka TFF na Bodi ya Ligi au Kampuni yoyote Kuandaa mechi kati ya wazawa dhidi ya wachezaji wakigeni ndani ya Ligi Yetu...
Kwa wazawa kikosi chako kiko vizuri ila no 4 mtoe Ninja mweke AmeKIKOSI CHA WAZAWA
1. Manula
2. Kapombe
3. Zimbwe JR
4. Ninja
5. Mwamnyeto
6. Mkude
7. Farid
8. Sure Boy
9. Bocco
10. Fei Toto
11. Kaseke
SUB: Mnata, Yassin, Kibwana, Manyama, Nyoni, Morris, Ame Domayo, Mzamiru, Ndemla, Mhilu, Dilunga, Nchimbi, Ajibu, Miraji na Adam
Tatizo la hivi vikosi Kila mtu ataleta tu ushabiki.mfano kama Hapo kwenye namba 6.kiungo wa kigeni wa eneo hilo ambaye ameonyesha kitu kuliko wengine Ni Mukoko,Lwanga au Ally Niyonzima!?Wenyeji chukua timu ya CHAN iliyopo Cameron mwongeze Tshabalala. Wageni
Kwa wazawa kikosi chako kiko vizuri ila no 4 mtoe Ninja mweke Ame...
Kweli.. ila wazawa watapambana kufa na kuponaHawa ni baadhi ya Wachezaji wa kikosi cha Nje
-Chama, Miquissone, Kagere, Mugalu, Bwalya,Onyango,Wawa, Mukoko, Kisinda, Saidoo, Lamine, Bigirimana, Stephen Sey,Yakubu Mohamedi,Wadada, Chirwa, Dube, Tigere, Djodi golini Nahimana.
Hatari sana hiyo.Ligi Yoyote wakifanya hivyo Kikosi cha Nje lazima kionekane bora sababu itakuwa ni mechi ya Nchi moja dhidi ya nchi nyingine zote zilizobakia duniani
Sawa.. hata Ninja ni level moja na AMEWenyeji chukua timu ya CHAN iliyopo Cameron mwongeze Tshabalala. Wageni
Kwa wazawa kikosi chako kiko vizuri ila no 4 mtoe Ninja mweke Ame.....
Kama ume edit hivi mwanzo ni kama hukuandika hivi ila ni wazo zuriLengo sio hilo.. soma tena