Mlenge
R I P
- Oct 31, 2006
- 2,125
- 2,306
PENDEKEZO: Mishahara na Malipo Mengine yaruhusiwe kupitia waleti za simu
Halopesa/Tigopesa/MPesa/Airtel Money/T-Pesa/waleti zingine
Badala ya watumishi katika sekta za umma na za binafsi kulazimika kutumia akaunti za benki kupokelea mishahara, waruhusiwe kupokelea mishahara na malipo mengine kwenye akaunti za simu zao.
Nawasilisha.
Halopesa/Tigopesa/MPesa/Airtel Money/T-Pesa/waleti zingine
Badala ya watumishi katika sekta za umma na za binafsi kulazimika kutumia akaunti za benki kupokelea mishahara, waruhusiwe kupokelea mishahara na malipo mengine kwenye akaunti za simu zao.
Nawasilisha.