Pendekezo Route mpya ya daladala, Madale-Makumbusho kupitia Goba njia Nne na Makongo juu

Pendekezo Route mpya ya daladala, Madale-Makumbusho kupitia Goba njia Nne na Makongo juu

singojr

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2014
Posts
5,313
Reaction score
6,895
Habari Wadau,

Dar es salaam ni jiji linalopanuka kwa kasi sana. Wakazi wengi wanakaa pembezoni lakini kila siku wanaelekea katikati jijini kwa shughuli mbalimbali.

Nimekuwa nikipendekeza route mbalimbali kama jitihada za kutaafungua macho wahusika ili kutatua changamoto za usafiri
Leo nakuja na route ya Madale-Makumbusho kupitia Goba njia Nne na Makongo juu.

Route hii itaondoa msongamano Mbezi Shule, Goba Njia nne na pia kuwa kiungo muhimu kati ya Goba na Makongo Juu ambazo zimeungana kwa lami lakini hakuna usafiri wa umma.

Pia route hii itapunguza mzunguko wa safari kwa wakazi wa Goba.
 
Habari Wadau,

Dar es salaam ni jiji linalopanuka kwa kasi sana. Wakazi wengi wanakaa pembezoni lakini kila siku wanaelekea katikati jijini kwa shughuli mbalimbali.

Nimekuwa nikipendekeza route mbalimbali kama jitihada za kutaafungua macho wahusika ili kutatua changamoto za usafiri
Leo nakuja na route ya Madale-Makumbusho kupitia Goba njia Nne na Makongo juu.

Route hii itaondoa msongamano Mbezi Shule, Goba Njia nne na pia kuwa kiungo muhimu kati ya Goba na Makongo Juu ambazo zimeungana kwa lami lakini hakuna usafiri wa umma.

Pia route hii itapunguza mzunguko wa safari kwa wakazi wa Goba.
Kuna mbezi mwisho -njia nne- madale- tegeta kibaoni hadi mwenge au hii haifai

USSR
 
Ni kweli, barabara imeandaliwa vizuri pamoja na vituo vyake vya abiria lakini daladala hakuna. Ni vyema mamlaka husika zikachukua hatua ili kuwakomboa wananchi wa maeneo hayo. Iwe mwenge-makongo-goba centre-njia nne-mbezi na mengine yaanzie makumbusho.
 
Habari Wadau,

Dar es salaam ni jiji linalopanuka kwa kasi sana. Wakazi wengi wanakaa pembezoni lakini kila siku wanaelekea katikati jijini kwa shughuli mbalimbali.

Nimekuwa nikipendekeza route mbalimbali kama jitihada za kutaafungua macho wahusika ili kutatua changamoto za usafiri
Leo nakuja na route ya Madale-Makumbusho kupitia Goba njia Nne na Makongo juu.

Route hii itaondoa msongamano Mbezi Shule, Goba Njia nne na pia kuwa kiungo muhimu kati ya Goba na Makongo Juu ambazo zimeungana kwa lami lakini hakuna usafiri wa umma.

Pia route hii itapunguza mzunguko wa safari kwa wakazi wa Goba.
Hii naikubali,
 
Habari Wadau,

Dar es salaam ni jiji linalopanuka kwa kasi sana. Wakazi wengi wanakaa pembezoni lakini kila siku wanaelekea katikati jijini kwa shughuli mbalimbali.

Nimekuwa nikipendekeza route mbalimbali kama jitihada za kutaafungua macho wahusika ili kutatua changamoto za usafiri
Leo nakuja na route ya Madale-Makumbusho kupitia Goba njia Nne na Makongo juu.

Route hii itaondoa msongamano Mbezi Shule, Goba Njia nne na pia kuwa kiungo muhimu kati ya Goba na Makongo Juu ambazo zimeungana kwa lami lakini hakuna usafiri wa umma.

Pia route hii itapunguza mzunguko wa safari kwa wakazi wa Goba.
Route hauombei JF nenda LATRA
 
Back
Top Bottom