Pendekezo: Sikukuu ya Uhuru wa Tanganyika Ifutwe rasmi

Pendekezo: Sikukuu ya Uhuru wa Tanganyika Ifutwe rasmi

Rozela

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2024
Posts
845
Reaction score
2,235
Kwakuwa hakuna nchi inayoutwa Tanganyika, serikali isipoteze fedha kila mwaka kuandaa sherehe za uhuru wa nchi hewa.

Pia wafanyakazi waende kazini kama kawaida maana kukaa nyumbani kwa kisingizio cha sikukuu ya uhuru wa nchi ambayo haipo ni matumizi mabaya ya rasilimali watu.
 
Historia ya uhuru ni muhimu mkuu...inasaidia hata watoto watakao zaliwa leo,,,kutambua nini maana ya uhuru na pia kuwapa pongezi na kutambua watu walioupambania uhuru
 
Naunga mkono hoja ,SAMIA anasema niwapongeze Kwa Uhuru wetu sote!!!😭 nimeshangaaa Uhuru wetu sote kivipi wakati yeye ni mtumbati wa kizmkazi Uhuru wao ni 10
 
Hizi sherehe zinafilisi tu hazina. Makomandoo na majeshi yanafanya yao ila bajeti ni kubwa sana ili kuwezesha. Hazina tija wala hazileti maendeleo, kama bado kuna watoto wanasomea chini, wengine hawana maji ya kunywa huko vijijini, wengine wanakaa sehemu hazifikiki sababu ya kukosa miundombinu.
Huu ni ukweli wetu. Lazima tukubali ni shida zetu na tuamue kuzipunguza ili isije kufika miaka miamoja bado tunategemea kupewa misaada ya kuondoa umaskini
 
Back
Top Bottom