Pendekezo: Wenyeviti wa mikoa na wilaya wa CCM wateuliwe na Mwenyekiti Taifa

Pendekezo: Wenyeviti wa mikoa na wilaya wa CCM wateuliwe na Mwenyekiti Taifa

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Ushauri wangu kwa chama tawala,

Ili kuimarisha umoja zaidi, kupunguza mianya ya rushwa, kuongeza udhibiti katika chama na kuwezesha utekelezaji wa ilani ya uchaguzi kwa ufanisi na ubora zaidi ni vyema wenyeviti wa chama mkoa na wilaya wakateuliwa na Mwenyekiti wa chama Taifa.

Mfumo huu utaendana vizuri pia na mfumo wa nchi ambapo wakuu wa mikoa na wilaya wanateuliwa na Rais badala ya kuchaguliwa kwa kura za raia.
 
Ushauri wangu kwa chama tawala,

Ili kuimarisha umoja zaidi, kupunguza mianya ya rushwa, kuongeza udhibiti katika chama na kuwezesha utekelezaji wa ilani ya uchaguzi kwa ufanisi na ubora zaidi ni vyema wenyeviti wa chama mkoa na wilaya wakateuliwa na Mwenyekiti wa chama Taifa.

Mfumo huu utaendana vizuri pia na mfumo wa nchi ambapo wakuu wa mikoa na wilaya wanateuliwa na Rais badala ya kuchaguliwa kwa kura za raia.
Unasikitisha,
Watu tunazungumzia Wakuu wa mikoa na wilaya wachaguliwe na Wanamchi , wee bado upo kumwongezea Rsis madaraka zaidi hata huko kwenyeChama.

Tunataka hata Wakuu wa mikoa tuwachague.
 
Tunataka serikali za majimbo haiwezekani MGODI wa makaa ya mawe kiwira na mchuchuma umilikiwe na CCM wakati wenye wilaya au mkoa hawana dawa,hawana madawati
 
Unataka Uchawa uzidi maradufu!
Rais apunguziwe madaraka ya teuzi.
Chimbuko la Uchawa na kumwabudu Rais ni teuzi hizi.
 
Ushauri wangu kwa chama tawala,

Ili kuimarisha umoja zaidi, kupunguza mianya ya rushwa, kuongeza udhibiti katika chama na kuwezesha utekelezaji wa ilani ya uchaguzi kwa ufanisi na ubora zaidi ni vyema wenyeviti wa chama mkoa na wilaya wakateuliwa na Mwenyekiti wa chama Taifa.

Mfumo huu utaendana vizuri pia na mfumo wa nchi ambapo wakuu wa mikoa na wilaya wanateuliwa na Rais badala ya kuchaguliwa kwa kura za raia.
Itaongeza UCHAWA zaidi badala ya ufanisi. Wakuu wa Mikoa na Wilaya ni bora wangechaguliwa ili kupunguza UCHAWA na kuongeza ufanisi.
 
Ushauri wangu kwa chama tawala,

Ili kuimarisha umoja zaidi, kupunguza mianya ya rushwa, kuongeza udhibiti katika chama na kuwezesha utekelezaji wa ilani ya uchaguzi kwa ufanisi na ubora zaidi ni vyema wenyeviti wa chama mkoa na wilaya wakateuliwa na Mwenyekiti wa chama Taifa.

Mfumo huu utaendana vizuri pia na mfumo wa nchi ambapo wakuu wa mikoa na wilaya wanateuliwa na Rais badala ya kuchaguliwa kwa kura za raia.
Haina maana, lazima wawe watu tunao wafahamu vizuri
 
Ushauri wangu kwa chama tawala,

Ili kuimarisha umoja zaidi, kupunguza mianya ya rushwa, kuongeza udhibiti katika chama na kuwezesha utekelezaji wa ilani ya uchaguzi kwa ufanisi na ubora zaidi ni vyema wenyeviti wa chama mkoa na wilaya wakateuliwa na Mwenyekiti wa chama Taifa.

Mfumo huu utaendana vizuri pia na mfumo wa nchi ambapo wakuu wa mikoa na wilaya wanateuliwa na Rais badala ya kuchaguliwa kwa kura za raia.
CCM ni mwenyekiti na Mwenyekiti ndiye CCM. Hana haja na yote hayo.

Tangu enzi za TANU hadi CCM image ya chama ni Mwenyekiti aketiye kitini pa enzi.
 
Itaongeza UCHAWA zaidi badala ya ufanisi. Wakuu wa Mikoa na Wilaya ni bora wangechaguliwa ili kupunguza UCHAWA na kuongeza ufanisi.
Mwenyekiti wa wilaya au mkoa au mjumbe wa hadhi yoyote ndani ya CCM ana hadhi gani au uwezo wa kuamua nini mbele ya mwenyekiti wa CCM taifa?
 
Back
Top Bottom