Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja na mapori dar iongezewe eneoHyo dar mpk leo Ina mapori kibao ijazeni kwanza ndo muombe zingine,nenda kwembe hukoo,kigamboni,mvuti,yombo mpera Kuna mapori kibao na umeme haujafika Barabara hakuna za lami hapo kufuru kwa kule juu tu Bado Kuna maneno Yana vipori
Dsm ndio city centre ya Tz.Ni kweli watu wa Dar wanalalamika wanajionaga wao ni watu muhimu sana katika Taifa hili
Si ndio mnatuuliza sisi Tunaishije huku mikoani mnatuona kama sio Watanzania
Wilaya Kinondoni ndiyo shida , hawana ardhi yoyote.... Hivyo wanahaha kupata maeneo. Lakini wangejiongeza kwenda na uchumi mwingine bila kutegemea ardhi mpya.. Wafanye uchumi mwingine, mfano wa blue, high tech , entertainment/ amusement park na vitu vingine kama hivyo.. Ila Bagamoyo msije mkaruhusu hilo, watafyeka ardhi yenu.. Kumbukeni Bandari inakuja !!Hyo dar mpk leo Ina mapori kibao ijazeni kwanza ndo muombe zingine, nenda kwembe hukoo,kigamboni, mvuti, yombo mpera kuna mapori kibao na umeme haujafika Barabara hakuna za lami hapo kufuru kwa kule juu tu bado kuna maneno yana vipori.
Maeneo ya nini huko mabwepande na mbopo bado yapo? Au unajua kinondoni ni kino yenyewe?Wilaya Kinondoni ndiyo shida , hawana ardhi yoyote.... Hivyo wanahaha kupata maeneo. Lakini wangejiongeza kwenda na uchumi mwingine bila kutegemea ardhi mpya.. Wafanye uchumi mwingine, mfano wa blue, high tech , entertainment/ amusement park na vitu vingine kama hivyo.. Ila Bagamoyo msije mkaruhusu hilo, watafyeka ardhi yenu.. Kumbukeni Bandari inakuja !!
Eneo hili tu bado watu wanaoga kwa wiki mara moja tuacheni utani.Pamoja na mapori dar iongezewe eneo