Mwanakulipata
JF-Expert Member
- Jul 17, 2018
- 714
- 1,193
Kuna vitu vidogo vidogo ambavyo wanaume tunakosea katika uvaaji wa nguo.
Kama unavaa mashati na unachomekea kwenye suruali basi hakikisha rangi ya mkanda wako inaendana na viatu unavyovaa.
Vitu vingine sio lazima uwe na hela nyingi ndo uvifanye[emoji123]
Kama unavaa mashati na unachomekea kwenye suruali basi hakikisha rangi ya mkanda wako inaendana na viatu unavyovaa.
Vitu vingine sio lazima uwe na hela nyingi ndo uvifanye[emoji123]