Asante ... Amen.Amen, Mungu akutane na haja ya moyo wako
Bado haha[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ww tayari?
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Haha sipati picha utakavyovunja kabatiHiyo siku kila mtu anapania kupendeza...naisubiri kwa hamu
Teh uache mapepe siku yenyeweSiku hiyo nitacheza kiduku cha kufa mtu
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Ha ha ha! Safi sana.Haya endelea kujifunza........mi nasubiri hiyo siku nipige pamba kali za kijanja
Amen, Mungu akutangulie mwayaMbwembwe lazima.....huwezi kuwa km gogo
Yaani nimepania naamini ndani ya 2 yrs lazima nifanye kweli