HapanaSwali langu kwa Bitoz
Hivi una undugu na mustafa Hassanal, Ally remtula, Martini Kadinda, sheria Ngowi au Rio paul?
Hivi kwa ma-model & ma-desgner wengi wanakuwa na tabia za kisho.ga?Hapana
Mi sijabahatika kufika level hizo
Mambo ya pamba nayaweza pia yapo kwenye damu hata nikinunua pamba lazima "niichakachue" sipendi kuvaa nifanane na mtu tangu Primary nilikuwa na mapigo yangu
Mambo yakienda sawa nitaanzisha blog
Sawa desgner, ila jitahidi sana ili imfikie Rio PaulSiyo kweli kusena "wengi"
Hao mabasha wapo kila fani au sehemu kwani hujawahi kuona mabaunsa shoga?
Ni tabia ya mtu na haihusiani na fani ya mtu
Thawa papaaAcha zako ww
Sihitaji kuwa km fulani napenda kuwa mtu tofauti
Hata JF sitaki kuwa km fulani au kumfikia fulani
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Acha majungu kijana
Fashion/mitindo inaendana na picha siyo blahblah na mastori tu
bwana harus ni kipofu
Zitto kapendeza,kweli siku ya Arusi ni muhimu sana