INAUZWA Pendezesha nyumba yako kwa aluminium

INAUZWA Pendezesha nyumba yako kwa aluminium

Strong25

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2021
Posts
394
Reaction score
834
Habarini wakuu, mimi ni fundi aluminium ikiwemo
__madirisha ya aluminium
__milango ya aluminium
__makabati ya chips
__partitions za majumbani na ofisini

NAPATIKANA DARESLAAM -MIKOANI PIA NAKUFIKIA

0686141321

IMG_9327.jpg

IMG_9330.jpg

IMG_9147.jpg

IMG_3844.jpg

IMG_3774.jpg

IMG_3636.jpg
 
Kama ilo la Kwanza kwenye picha zako likiwa n ukubwa wa 6 Kwa 6 Bei Gani. Nipo Dar
 
#habarini wakuu __mm ni fundi aluminium ikiwemo
__madirisha ya aluminium
__milango ya aluminium
__makabati ya chips
__partitions za majumbani na ofisini

NAPATIKANA DARESLAAM -MIKOANI PIA NAKUFIKIA
___0686141321View attachment 2895446
View attachment 2895447
View attachment 2895449
View attachment 2895450
View attachment 2895451
View attachment 2895452
Asante mtaalam kwa kazi nzuri.

Naomba kuuliza hivi hakuna mtindo mwingine wa madirisha tofauti na huo wa Picha ya kwanza.

Maana nyumba zote zina mtindo huo wenye mabox manne, chini mawili makubwa na juu viwili vidogo.

Kwa kweli kama nifasheni mimi hazinivutii
 
Asante mtaalam kwa kazi nzuri.

Naomba kuuliza hivi hakuna mtindo mwingine wa madirisha tofauti na huo wa Picha ya kwanza.

Maana nyumba zote zina mtindo huo wenye mabox manne, chini mawili makubwa na juu viwili vidogo.

Kwa kweli kama nifasheni mimi hazinivutii

IMG_2381.jpg

IMG_2374.jpg

#kuna mitindo mingi tu mkuu__niww tu na utakalo penda
 
Asante mtaalam kwa kazi nzuri.

Naomba kuuliza hivi hakuna mtindo mwingine wa madirisha tofauti na huo wa Picha ya kwanza.

Maana nyumba zote zina mtindo huo wenye mabox manne, chini mawili makubwa na juu viwili vidogo.

Kwa kweli kama nifasheni mimi hazinivutii
Mie mwenyewe hayanivutii kwakweli
 
Back
Top Bottom