PENDO MAGALUDA Ametutoka

Status
Not open for further replies.

Gembe

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2007
Posts
2,483
Reaction score
164
Heshima Mbele,

Kam,a Mtakumbuka kipindi Flani Mkulu FMES(wazee wasauti za umeme) alieleza khali ya mgonjwa pendo magaruda.Kwa taarifa ambzo nimezipata toka kwa mmoja wa watu wa karibu wa familia hiyo ni kwmaba amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo kwa saa za Tanzania.

Nitawapa Update Msiba uko wapi mara baada ya kuwasiliana na wanafamilia wa familia hiyo

Gembe.
 

...Mwenyezi mungu amjaalie mapumziko mema, ametutangulia nasi tutafuatia. Kifo ni Ukumbusho wa safari isoepukika. Wafiwa, Mwenyezi mungu awazidishie Nguvu na Imani katika kipindi hiki kigumu. Amen
 
R.I.P. Pendo.
Bwana alitoa na Bwana ametwaa Jina la Bwana libarikiwe; Amen.
 
RIP,

You will alwayz be rembered by us. May your soul rest in eternal peace.Amen
 
RIP Pendo. "Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu, na hakika kwake tutarejea", muda na siku ya kurejea ndio hatujui, poleni wafiwa na Mola awape nguvu, amani na upendo katika kipindi hiki tete.
 
Mkulu Gembe,

Heshima mbele sana, nimepata habari hizo jana usiku nikiwa safarini lakini nimekua na mawasiliano ya kila siku na mume wa marehemu ambaye alini-alert toka majuzi kuwa siku imekaribia,

anyways tunamuombea kwa mungu marehemu Pendo ambaye nilimuona last fews weeks akiwa bado hai, Mungu amuweke mahali pema na pia awafariji familia nzima na hasa watoto wadogo aliowaacha.

Ninategemea kurudi nyumbani in the next two days ndio nitajua hasa kitakachofanyika next, otherwise Mkulu Gembe, tupo pamoja mkuu respect!
 
Wakuu Gembe, FM ES na wengineo,
naomba kuuliza, hivi huyu Marehemu Pendo, mmewe Abel Magaluda ni ndugu yake Magobe Magaluda?.

Kwa mara nyingine Mola awape nguvu wafiwa.
 
She was kindhearted and had a tough battle towards the end of her journey. May God console the husband and the boys in this difficult time. Keep us posted.
 
Rest in Peace Pendo.

 
Last edited by a moderator:
Jamani dada Pendo umetuacha!Poleni sana familia yote pole Dr Ibambasi kwa kuondokewa na binti yako!Mpuya,Dotto,Catherine kulwa na Mat poleni kwa kuondokewa na dada yenu!Mungu alimtoa na sasa amemtwaa JINA LA BWANA LIBARIKIWE!
 
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi na awape nguvu, faraja na uvumilivu familia, ndugu, jamaa na marafiki wa marehemu katika kipindi hiki kigumu kwao~AMEN
 
Ndugu na marafiki wapate amani na kuliwazika katika kipindi hiki kigumu na mbeleni.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…