Pengine hujui lakini chupi ya mwanaumme nayo huongea!

uvaaji wa vyupi ni anasa kwanza haina kazi yoyote mwilini
kweli elly nasaport eti wengine wanavaa hata usiku wakati wa kulala ... For what? Kuchezea tu rasilimali...
 

hahaaaaaa.....mkuu kuna siku tutakuvika nishani kwa umahiri wa mambo haya ya mashairi na tenzi za rohoni
 
Hahahaaaa acha tu nimegombana na wifi yako hadi basi, haiwezekani hata kidogo mtu avae tight, chupi, sijui na nini tena, si kumaliza sabuni tu jamani? Kwanza upepo ni mzuri kwa afya
kweli elly nasaport eti wengine wanavaa hata usiku wakati wa kulala ... For what? Kuchezea tu rasilimali...
 
afadhali leo umekuja kivingine rutashubanyuma kwani TASNIA YA MAPENZI inakupiga chini sana kijana,boxer ipo poa hata mi navaanga kwana inanifaya niwe freeeeeeeeee!!
 
boxer zinawabana lakini .... Kile kitu huwa kinapumua kweli?

Smile boxer ni free sana
Unanunua size yako kulingana na mwili wako
na unanunua zile ambazo zitakufanya uwe free
Maana ukinunua za kubana hazina tofauti na chupi sasa
 
Kweli dunia darasa... nimepata somo hapa, ngoja niaachane na haya mambo ya kizungu nikatafute na mimi likaputura niache mjomba ajimwayemwaye LOL
 
clean hard colored Boxers are a huge turn on to some of us.....anayevaa boxers ni real man

thank you for useful comment:A S 465::A S 465::A S 465:
 
Reactions: JS
Boxer" for real men. by Rutashubanyuma
[MENTION]
Manyanza[/MENTION] uume hauwezi kupunguzwa na saizi ya nguo unayovaa....................ingekuwa hivyo basi shemu zote za miili yetu zingelipungua kwa sababu ya nguo tunazovaa.............
 
mimi sivai kabisa cause hata sijui faida ya chupi ... navaa tu siku za hatari...

Smile.............mpango wa ute huogopi ukidondoka hadharani kama zege?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…