Pengo kwenye Muungano

Pengo kwenye Muungano

Filosofia ya Rorya

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2021
Posts
3,211
Reaction score
3,611
Zanzibar ina Rais, ina wimbo wa taifa, ina bendera ya taifa na ya Rais, ina Baraza la Wawakilishi, ina Baraza la Mapinduzi, ina Valantia, Mafunzo na KMKM, ina Serikali Kamili ya Mapinduzi SMZ, ni taifa kamili lililoungana na Tanganyika kutengeneza Tanzania bila kupoteza utaifa wake.

Mojawapo ya sifa za Rais ni kuamuru majeshi yoooote ya Ulinzi na Usalama kwa cheo chake cha Amiri Jeshi Mkuu. Tanzania ina Amiri Jeshi Mkuu mmoja tu anayeamuru majeshi (JWTZ, JKT, Polisi, Magereza, Mgambo, Jeshi Usu la Uhifadhi; Katiba ya JMT Ibara ya147 (2) na (4) ingawa ibara ndogo ya 4 haijataja Jeshi la Mgambo, Jeshi Usu la Uhifadhi, Mafunzo Znz, Valantia na KMKM) ambaye ni Rais wa Muungano (isome Ibara ya 147 pamoja na Ibara ya 148 inayohusu madaraka ya Amiri Jeshi Mkuu ili upate muktadha mzuri):-

1. Je, vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM vinaamuriwa na Amiri Jeshi Mkuu (Rais wa JMT)? Au vinaamuriwa na Rais wa SMZ (Zanzibar) ambaye siyo Amiri Jeshi Mkuu?

2. Na kama Rais wa JMT hana Mamlaka kuamuru vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM je, vinaamuriwa na nani?

3. Je, ni vibaya kama tukifanya marekebisho ya Katiba ili Rais wa Znz ambaye (naomba nitumie neno huenda) ndiye anayeamuru vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM aitwe Amiri Jeshi wa Vikosi vya SMZ (tumuongezee hiyo title) ili kuweka perspective vizuri kwa vikosi vya SMZ kuamuriwa na Amiri Jeshi pia kama ilivyo itifaki ya majeshi duniani kote? Kwahiyo Rais wa Znz atakuwa na titles za Rais wa SMZ, Mwenyekiti wa BMZ (Baraza la Mapinduzi Zanzibar), Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na AMIRI JESHI WA VIKOSI VYA SMZ (kwa minajili ya itifaki tusimuwekee neno #Mkuu kwenye maneno “Amiri Jeshi Mkuu”).

4. Katiba ya Muungano (ambayo inafanyakazi Znz pia) inazuia mtu, shirika, kikundi isipokuwa serikali kuanzisha majeshi soma Sehemu ya Nane, Sura ya Tisa (Majeshi ya Ulinzi), Ibara ya 147, Ibara ndogo ya (1), uk. 203. Sasa basi, Ibara hii imetaja serikali ndiyo inayoruhusiwa kuunda majeshi lakini haijabainisha ni serikali ipi, ya JMT, ya SMZ au zote?

5. Na kama ni hivyo je, vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM vimeanzishwa na nani? Vinaamuriwa na nani? Anayeviamuru ana wadhifa wa Amiri Jeshi au Amiri Jeshi Mkuu? Je, vikosi hivyo si vinafanyakazi ndani ya mipaka ya JMT? Nani anaamuru ulinzi wa mipaka ya nchi (JMT)?

6. Kama suala la Ulinzi na Usalama ni suala la Muungano je, ni Rais wa JMT ndiye anayeamuru vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM? Au vinaamuriwa na Rais wa SMZ ambaye siye Amiri Jeshi Mkuu na wala siye Rais wa Muungano?

7. Kama tukiruhusu Rais wa Zanzibar awe Amiri Jeshi kwa vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM je, Zanzibar itakuwa na Waziri wake wa Ulinzi (wa vikosi?)

Mwenye ufahamu na Katiba ya Zanzibar atujuze.

Tuko tayari kujifunza ambayo siyo dhambi hii.
 
Hayo ni majeshi USU kama mgambo, wanyama pori TANAPA na Mgambo, shida iko wapi? Hata kukimbiza magendo wafanye JWTZ? Valantia hawaendi front line kulinda mipaka.
 
Zanzibar ina Rais, ina wimbo wa taifa, ina bendera ya taifa na ya Rais, ina Baraza la Wawakilishi, ina Baraza la Mapinduzi, ina Valantia, Mafunzo na KMKM, ina Serikali Kamili ya Mapinduzi SMZ, ni taifa kamili lililoungana na Tanganyika kutengeneza Tanzania bila kupoteza utaifa wake.

Mojawapo ya sifa za Rais ni kuamuru majeshi yoooote ya Ulinzi na Usalama kwa cheo chake cha Amiri Jeshi Mkuu. Tanzania ina Amiri Jeshi Mkuu mmoja tu anayeamuru majeshi (JWTZ, JKT, Polisi, Magereza, Mgambo, Jeshi Usu la Uhifadhi; Katiba ya JMT Ibara ya147 (2) na (4) ingawa ibara ndogo ya 4 haijataja Jeshi la Mgambo, Jeshi Usu la Uhifadhi, Mafunzo Znz, Valantia na KMKM) ambaye ni Rais wa Muungano (isome Ibara ya 147 pamoja na Ibara ya 148 inayohusu madaraka ya Amiri Jeshi Mkuu ili upate muktadha mzuri):-

1. Je, vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM vinaamuriwa na Amiri Jeshi Mkuu (Rais wa JMT)? Au vinaamuriwa na Rais wa SMZ (Zanzibar) ambaye siyo Amiri Jeshi Mkuu?

2. Na kama Rais wa JMT hana Mamlaka kuamuru vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM je, vinaamuriwa na nani?

3. Je, ni vibaya kama tukifanya marekebisho ya Katiba ili Rais wa Znz ambaye (naomba nitumie neno huenda) ndiye anayeamuru vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM aitwe Amiri Jeshi wa Vikosi vya SMZ (tumuongezee hiyo title) ili kuweka perspective vizuri kwa vikosi vya SMZ kuamuriwa na Amiri Jeshi pia kama ilivyo itifaki ya majeshi duniani kote? Kwahiyo Rais wa Znz atakuwa na titles za Rais wa SMZ, Mwenyekiti wa BMZ (Baraza la Mapinduzi Zanzibar), Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na AMIRI JESHI WA VIKOSI VYA SMZ (kwa minajili ya itifaki tusimuwekee neno #Mkuu kwenye maneno “Amiri Jeshi Mkuu”).

4. Katiba ya Muungano (ambayo inafanyakazi Znz pia) inazuia mtu, shirika, kikundi isipokuwa serikali kuanzisha majeshi soma Sehemu ya Nane, Sura ya Tisa (Majeshi ya Ulinzi), Ibara ya 147, Ibara ndogo ya (1), uk. 203. Sasa basi, Ibara hii imetaja serikali ndiyo inayoruhusiwa kuunda majeshi lakini haijabainisha ni serikali ipi, ya JMT, ya SMZ au zote?

5. Na kama ni hivyo je, vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM vimeanzishwa na nani? Vinaamuriwa na nani? Anayeviamuru ana wadhifa wa Amiri Jeshi au Amiri Jeshi Mkuu? Je, vikosi hivyo si vinafanyakazi ndani ya mipaka ya JMT? Nani anaamuru ulinzi wa mipaka ya nchi (JMT)?

6. Kama suala la Ulinzi na Usalama ni suala la Muungano je, ni Rais wa JMT ndiye anayeamuru vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM? Au vinaamuriwa na Rais wa SMZ ambaye siye Amiri Jeshi Mkuu na wala siye Rais wa Muungano?

7. Kama tukiruhusu Rais wa Zanzibar awe Amiri Jeshi kwa vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM je, Zanzibar itakuwa na Waziri wake wa Ulinzi (wa vikosi?)

Mwenye ufahamu na Katiba ya Zanzibar atujuze.

Tuko tayari kujifunza ambayo siyo dhambi hii.
Ninafikiri Katiba za JMT na Znz zidurusiwe ili vikosi vya SMZ viingizwe kwenye Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa ili viamuriwe na Amiri Jeshi Mkuu. Hii pia itapunguzia SMZ zigo la bajeti ya kuendesha vikosi hivi maana zigo hilo litapewa JMT.
 
Ninafikiri Katiba za JMT na Znz zidurusiwe ili vikosi vya SMZ viingizwe kwenye Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa ili viamuriwe na Amiri Jeshi Mkuu. Hii pia itapunguzia SMZ zigo la bajeti ya kuendesha vikosi hivi maana zigo hilo litapewa JMT.
Mpaka sasa bara imebeba mzigo wote wa Zanzibar
 
Na mie nichangie hapa,
haya majeshi ya kmkm,jeshi la mafunzo, valantia, jku zanzibar na kikosi cha zima moto yanaitwa vikosi vya smz au idara Maalum za smz na kamanda mkuu wa idara maalum au vikosi vya smz ni raisi wa zanzibar na kuna wizara ya vikosi vya smz (majeshi ya zanzibar) na waziri wake anateuliwa na raisi wa zanzibar, na wakuu wa majeshi haya wanateuliwa na raisi wa zanzibar,kwa maana hivyo serikali ya zanzibar ina mamlaka kamili juu ya majeshi haya,na serikali muungano haina mamlaka hata chembe kwenye majeshi haya wala haina uhusiano wowote na majeshi haya ya zanzibar.maelekezo na amri zote zinazoelekezwa kwa majeshi haya zinatolewa na raisi wa zanzibar moja kwa moja au kupitia waziri wake.

Hapo juu nlitaja jku(jeshi la kujenga uchumi) hii ifahamike kuwa jku zanzibar (JKUZ) na jku tanzania (JKUT)ni ni majeshi tafauti wala hayaingiliani popote,kila moja linajibu kwa waziri wake na serikali yake

Hii hapa nukuu ya katiba ya zanzibar kuhusu majeshi au vikosi vya serikali ya zanzibar,

1. Kikosi Maalum Cha Kuzuia Magendo Zanzibar (KMKM).

2. Jeshi la Kujenga Uchumi Zanzibar (JKUZ).

3. Idara ya Chuo cha Mafunzo (MF).

4. Idara ya Zimamoto na Uokozi (KZU).

5. Idara ya Valantia (KVZ).

Aidha kwa mujibu wa ibara ya 123(1) Kamanda Mkuu wa Idara Maalum za SMZ ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi. Ambapo Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ ndie msimamizi wa Afisi inayosimamia Idara Maalum za SMZ.

Muungano na serikali zake unahitaji matengenezo makubwa sana,kuna matatizo mengi ambayo yapo kwenye msingi wa muungano na hayaingii akilini na yanakiuka moja kwa moja muundo wa serikali za nchi,suluhu ni ama kuvunja muungano au kuwa na serikali tatu ambazo zitakuwa na mamlaka yake ka itakavopangwa na kila nchi kuwa na mamlaka yake na serikali yake na siasa zake
 
Zanzibar ina Rais, ina wimbo wa taifa, ina bendera ya taifa na ya Rais, ina Baraza la Wawakilishi, ina Baraza la Mapinduzi, ina Valantia, Mafunzo na KMKM, ina Serikali Kamili ya Mapinduzi SMZ, ni taifa kamili lililoungana na Tanganyika kutengeneza Tanzania bila kupoteza utaifa wake.

Mojawapo ya sifa za Rais ni kuamuru majeshi yoooote ya Ulinzi na Usalama kwa cheo chake cha Amiri Jeshi Mkuu. Tanzania ina Amiri Jeshi Mkuu mmoja tu anayeamuru majeshi (JWTZ, JKT, Polisi, Magereza, Mgambo, Jeshi Usu la Uhifadhi; Katiba ya JMT Ibara ya147 (2) na (4) ingawa ibara ndogo ya 4 haijataja Jeshi la Mgambo, Jeshi Usu la Uhifadhi, Mafunzo Znz, Valantia na KMKM) ambaye ni Rais wa Muungano (isome Ibara ya 147 pamoja na Ibara ya 148 inayohusu madaraka ya Amiri Jeshi Mkuu ili upate muktadha mzuri):-

1. Je, vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM vinaamuriwa na Amiri Jeshi Mkuu (Rais wa JMT)? Au vinaamuriwa na Rais wa SMZ (Zanzibar) ambaye siyo Amiri Jeshi Mkuu?

2. Na kama Rais wa JMT hana Mamlaka kuamuru vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM je, vinaamuriwa na nani?

3. Je, ni vibaya kama tukifanya marekebisho ya Katiba ili Rais wa Znz ambaye (naomba nitumie neno huenda) ndiye anayeamuru vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM aitwe Amiri Jeshi wa Vikosi vya SMZ (tumuongezee hiyo title) ili kuweka perspective vizuri kwa vikosi vya SMZ kuamuriwa na Amiri Jeshi pia kama ilivyo itifaki ya majeshi duniani kote? Kwahiyo Rais wa Znz atakuwa na titles za Rais wa SMZ, Mwenyekiti wa BMZ (Baraza la Mapinduzi Zanzibar), Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na AMIRI JESHI WA VIKOSI VYA SMZ (kwa minajili ya itifaki tusimuwekee neno #Mkuu kwenye maneno “Amiri Jeshi Mkuu”).

4. Katiba ya Muungano (ambayo inafanyakazi Znz pia) inazuia mtu, shirika, kikundi isipokuwa serikali kuanzisha majeshi soma Sehemu ya Nane, Sura ya Tisa (Majeshi ya Ulinzi), Ibara ya 147, Ibara ndogo ya (1), uk. 203. Sasa basi, Ibara hii imetaja serikali ndiyo inayoruhusiwa kuunda majeshi lakini haijabainisha ni serikali ipi, ya JMT, ya SMZ au zote?

5. Na kama ni hivyo je, vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM vimeanzishwa na nani? Vinaamuriwa na nani? Anayeviamuru ana wadhifa wa Amiri Jeshi au Amiri Jeshi Mkuu? Je, vikosi hivyo si vinafanyakazi ndani ya mipaka ya JMT? Nani anaamuru ulinzi wa mipaka ya nchi (JMT)?

6. Kama suala la Ulinzi na Usalama ni suala la Muungano je, ni Rais wa JMT ndiye anayeamuru vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM? Au vinaamuriwa na Rais wa SMZ ambaye siye Amiri Jeshi Mkuu na wala siye Rais wa Muungano?

7. Kama tukiruhusu Rais wa Zanzibar awe Amiri Jeshi kwa vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM je, Zanzibar itakuwa na Waziri wake wa Ulinzi (wa vikosi?)

Mwenye ufahamu na Katiba ya Zanzibar atujuze.

Tuko tayari kujifunza ambayo siyo dhambi hii.
Ni wazo zuri. Kwenye 2. Nani anaamrisha jeshi usu la uhifadhi na mganbo wakati hayakutajwa kwenye katiba? Katiba yetu inaitambua Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar hivyo serikali kuunda vikosi maalum - siyo jeshi - inayo mamlaka. Rais kule Zanzibar ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekititi wa BLM na sio Rais wa serkali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Mimi naunga mkono katiba kutazamwa upya na kufayiwa marekebisho kwa maslahi ya pande zote mbili na sio upande mmoja tu.
 
Zanzibar ina Rais, ina wimbo wa taifa, ina bendera ya taifa na ya Rais, ina Baraza la Wawakilishi, ina Baraza la Mapinduzi, ina Valantia, Mafunzo na KMKM, ina Serikali Kamili ya Mapinduzi SMZ, ni taifa kamili lililoungana na Tanganyika kutengeneza Tanzania bila kupoteza utaifa wake.

Mojawapo ya sifa za Rais ni kuamuru majeshi yoooote ya Ulinzi na Usalama kwa cheo chake cha Amiri Jeshi Mkuu. Tanzania ina Amiri Jeshi Mkuu mmoja tu anayeamuru majeshi (JWTZ, JKT, Polisi, Magereza, Mgambo, Jeshi Usu la Uhifadhi; Katiba ya JMT Ibara ya147 (2) na (4) ingawa ibara ndogo ya 4 haijataja Jeshi la Mgambo, Jeshi Usu la Uhifadhi, Mafunzo Znz, Valantia na KMKM) ambaye ni Rais wa Muungano (isome Ibara ya 147 pamoja na Ibara ya 148 inayohusu madaraka ya Amiri Jeshi Mkuu ili upate muktadha mzuri):-

1. Je, vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM vinaamuriwa na Amiri Jeshi Mkuu (Rais wa JMT)? Au vinaamuriwa na Rais wa SMZ (Zanzibar) ambaye siyo Amiri Jeshi Mkuu?

2. Na kama Rais wa JMT hana Mamlaka kuamuru vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM je, vinaamuriwa na nani?

3. Je, ni vibaya kama tukifanya marekebisho ya Katiba ili Rais wa Znz ambaye (naomba nitumie neno huenda) ndiye anayeamuru vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM aitwe Amiri Jeshi wa Vikosi vya SMZ (tumuongezee hiyo title) ili kuweka perspective vizuri kwa vikosi vya SMZ kuamuriwa na Amiri Jeshi pia kama ilivyo itifaki ya majeshi duniani kote? Kwahiyo Rais wa Znz atakuwa na titles za Rais wa SMZ, Mwenyekiti wa BMZ (Baraza la Mapinduzi Zanzibar), Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na AMIRI JESHI WA VIKOSI VYA SMZ (kwa minajili ya itifaki tusimuwekee neno #Mkuu kwenye maneno “Amiri Jeshi Mkuu”).

4. Katiba ya Muungano (ambayo inafanyakazi Znz pia) inazuia mtu, shirika, kikundi isipokuwa serikali kuanzisha majeshi soma Sehemu ya Nane, Sura ya Tisa (Majeshi ya Ulinzi), Ibara ya 147, Ibara ndogo ya (1), uk. 203. Sasa basi, Ibara hii imetaja serikali ndiyo inayoruhusiwa kuunda majeshi lakini haijabainisha ni serikali ipi, ya JMT, ya SMZ au zote?

5. Na kama ni hivyo je, vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM vimeanzishwa na nani? Vinaamuriwa na nani? Anayeviamuru ana wadhifa wa Amiri Jeshi au Amiri Jeshi Mkuu? Je, vikosi hivyo si vinafanyakazi ndani ya mipaka ya JMT? Nani anaamuru ulinzi wa mipaka ya nchi (JMT)?

6. Kama suala la Ulinzi na Usalama ni suala la Muungano je, ni Rais wa JMT ndiye anayeamuru vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM? Au vinaamuriwa na Rais wa SMZ ambaye siye Amiri Jeshi Mkuu na wala siye Rais wa Muungano?

7. Kama tukiruhusu Rais wa Zanzibar awe Amiri Jeshi kwa vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM je, Zanzibar itakuwa na Waziri wake wa Ulinzi (wa vikosi?)

Mwenye ufahamu na Katiba ya Zanzibar atujuze.

Tuko tayari kujifunza ambayo siyo dhambi hii.
Muungano usiwepo
 
Hayo ni majeshi USU kama mgambo, wanyama pori TANAPA na Mgambo, shida iko wapi? Hata kukimbiza magendo wafanye JWTZ? Valantia hawaendi front line kulinda mipaka.
Mgambo huamrishwa na Wakurugenzi wa Halmashauri!!
 
Zanzibar ina Rais, ina wimbo wa taifa, ina bendera ya taifa na ya Rais, ina Baraza la Wawakilishi, ina Baraza la Mapinduzi, ina Valantia, Mafunzo na KMKM, ina Serikali Kamili ya Mapinduzi SMZ, ni taifa kamili lililoungana na Tanganyika kutengeneza Tanzania bila kupoteza utaifa wake.

Mojawapo ya sifa za Rais ni kuamuru majeshi yoooote ya Ulinzi na Usalama kwa cheo chake cha Amiri Jeshi Mkuu. Tanzania ina Amiri Jeshi Mkuu mmoja tu anayeamuru majeshi (JWTZ, JKT, Polisi, Magereza, Mgambo, Jeshi Usu la Uhifadhi; Katiba ya JMT Ibara ya147 (2) na (4) ingawa ibara ndogo ya 4 haijataja Jeshi la Mgambo, Jeshi Usu la Uhifadhi, Mafunzo Znz, Valantia na KMKM) ambaye ni Rais wa Muungano (isome Ibara ya 147 pamoja na Ibara ya 148 inayohusu madaraka ya Amiri Jeshi Mkuu ili upate muktadha mzuri):-

1. Je, vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM vinaamuriwa na Amiri Jeshi Mkuu (Rais wa JMT)? Au vinaamuriwa na Rais wa SMZ (Zanzibar) ambaye siyo Amiri Jeshi Mkuu?

2. Na kama Rais wa JMT hana Mamlaka kuamuru vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM je, vinaamuriwa na nani?

3. Je, ni vibaya kama tukifanya marekebisho ya Katiba ili Rais wa Znz ambaye (naomba nitumie neno huenda) ndiye anayeamuru vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM aitwe Amiri Jeshi wa Vikosi vya SMZ (tumuongezee hiyo title) ili kuweka perspective vizuri kwa vikosi vya SMZ kuamuriwa na Amiri Jeshi pia kama ilivyo itifaki ya majeshi duniani kote? Kwahiyo Rais wa Znz atakuwa na titles za Rais wa SMZ, Mwenyekiti wa BMZ (Baraza la Mapinduzi Zanzibar), Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na AMIRI JESHI WA VIKOSI VYA SMZ (kwa minajili ya itifaki tusimuwekee neno #Mkuu kwenye maneno “Amiri Jeshi Mkuu”).

4. Katiba ya Muungano (ambayo inafanyakazi Znz pia) inazuia mtu, shirika, kikundi isipokuwa serikali kuanzisha majeshi soma Sehemu ya Nane, Sura ya Tisa (Majeshi ya Ulinzi), Ibara ya 147, Ibara ndogo ya (1), uk. 203. Sasa basi, Ibara hii imetaja serikali ndiyo inayoruhusiwa kuunda majeshi lakini haijabainisha ni serikali ipi, ya JMT, ya SMZ au zote?

5. Na kama ni hivyo je, vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM vimeanzishwa na nani? Vinaamuriwa na nani? Anayeviamuru ana wadhifa wa Amiri Jeshi au Amiri Jeshi Mkuu? Je, vikosi hivyo si vinafanyakazi ndani ya mipaka ya JMT? Nani anaamuru ulinzi wa mipaka ya nchi (JMT)?

6. Kama suala la Ulinzi na Usalama ni suala la Muungano je, ni Rais wa JMT ndiye anayeamuru vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM? Au vinaamuriwa na Rais wa SMZ ambaye siye Amiri Jeshi Mkuu na wala siye Rais wa Muungano?

7. Kama tukiruhusu Rais wa Zanzibar awe Amiri Jeshi kwa vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM je, Zanzibar itakuwa na Waziri wake wa Ulinzi (wa vikosi?)

Mwenye ufahamu na Katiba ya Zanzibar atujuze.

Tuko tayari kujifunza ambayo siyo dhambi hii.


HUU SI MUUNGANO NI UVAMIZI ULIOPEWA JINA LA MUUNGANO
 
Back
Top Bottom