Pengo la Lissu, Mnyika na Zitto halijazibwa bungeni! Hizi tozo za kizalendo zisingepita bila marekebisho makubwa!

Hakuna cha huyu wala yule! Hakuna cha CCM wala CHADEMA! Wote mabwege tu! Miaka yote ya CHADEMA kukuwa wakiwa bungeni na kuwa chama kikuu cha upinzani, mbona hawajawahi kulaani wao kutolipa kodi?

Shida siyo kukataa tozo au kupunguza tozo hizo, kwa nini wao hawalipi kodi halali ya kipato chao? sasa leo unaanza kuonesha eti Lissu ni wa maana sana! Lini aliomba wabunge walipe kodi? Wote ni wapigaji na ndo maana Bunge la Katiba, Lissu alimuingiza dada yake. Leo hii yuko wapi ktk siasa? Si aliingia kupiga pesa tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…