LDA COMPANY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 340
- 622
Wawa asingetoka tungefungwa nyingiHabari ndugu.
Kilichoiponza leo simba kwa upande wangu mi naona ni kitendo cha kuumia Pascal Wawa. Jamaa kama asingetoka nadhani leo mazembe wangepigwa mengi kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hoja, hakuna pengo la Wawa mechi ya JanaWawa asingetoka tungefungwa nyingi
kama ulipokea usisite kutoa tena
Huwa nashangaa ni kwa nini simba huwa hatupendi kumtumia juuko murshidHakuna pengo la wawa jana alichokifanya ni kujivunja ili atoke baada ya kuoona shughuli nzito na tayari kashafanya makosa mwanzoni nyoni anambeba tu ila ni wa kawaida sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kitu kama hicho angelikuwa uchochoro.Habari ndugu.
Kilichoiponza leo simba kwa upande wangu mi naona ni kitendo cha kuumia Pascal Wawa. Jamaa kama asingetoka nadhani leo mazembe wangepigwa mengi kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app