Peniela (Story ya kijasusi)

0655428085 piga muuzaji wa vitabu vya hussen tuwa huyo ni wajikoni kbs ukikosa hapo huwezi pata sehem nyingine
poa mkuu asante mtuhumiwa niliisoma kwenye gazeti la kiu jamaa akesema atatoa kitabu lakini akatangulia kutoa kitabu cha mkimbizi shukurani sana kama hii atafanikisha kupata hicho kitabu cha mtuhumiwa
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 

Hivi hile story ya dani ilishia wapi nilipataga kwenye group za whatsapp sime ilishia njiani
 
mkuu huwezi pata vitabu vya willy gamba .vitabu vyake ni kama LUPIA na imani zake ukiwa nacho yakupasa ukihifadhi haswaa. ukiazimisha tuu hakirudi. story za willy gamba nyingi zipo soft copy

Mkuu nakufatilia kimya kimya na ninakukubali kwa moyo wako ambao hauna kinyongo katika kuachilia maarifa kwa wengine. Naomba Kama utaweza mkuu unitumie soft copy ya vitabu vya Willy gamba.. Natanguliza shukrani.
 
LEGE mi niko na Latoya kwenye BEFORE I DIE, so kama ukiendelea huku tutaarifu kule maana najua wengi tupo kule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…