Peniela (Story ya kijasusi)

Asee[emoji15] [emoji15]
 
Hii story nzuri sana..nimeongea na mtunzi amenihakikishia next week itakuwa tayari.
Si vibaya kumuunga mkono
thanx sana mkuu coz watu walisha anza kuongea mengii wakifikiri kuwa mm nawaongopea. but jamaa anatoa kitabu so kama ww nimsomi wa story huto sita kununua .
 
thanx sana mkuu coz watu walisha anza kuongea mengii wakifikiri kuwa mm nawaongopea. but jamaa anatoa kitabu so kama ww nimsomi wa story huto sita kununua .
Mimi nitanunua kumuunga mkono ili aendelee kuleta vitu vizuri zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…