Hahahhh ushindweeeeWakati wenzangu wanaonga mamillion akina dr Joshua mm ntakuonga machungwa shunie
ulinipangia nini tenaDahhh Nilikuwa na Mipango kem kem nawe ila ndo ishayayuka ka Urais wa Eli
Tuvumilie mkuu njaaa.Thank you LEGE naona umekeep promise mkuu.Aminia.....TATIZO KUNA WADAU WANA MIDOMO MIREFU.WASHAFIKA JIKONI KWA MPISHI WANATAKA KUMWAGA MBOGA.
Usifanye hivyo mkuu weka ndefu kama mwanzowakuu ufupi wa sehem ni mm ndio naifupisha hivyo ndio maana utaona inakatika bila mpangilio toka sehem moja mpaka nyingine, nyie simna njaa sana
okay legenilikuwa namjibu kwa zile sehem za mwanzo kabla hatujaanza season ya 5
Mkuu LEGE katuahidi kuileta baada ya hii nasemaje watu watashinda humu.kweli hiyo bado sijaijua mkuu, je ipo humu.
Ndio tumemalizamshamaliza kwani
Tayari mkuumshamaliza kwani
mshamaliza kwani
Yaah inaendelea vizuri Shukran LEGELEO NAZANI WEEK END ITAKUWA NJEMA KWENU.
MKIMALIZA MNISTUE TUENDELEE HAKUNA KULALA.