Peniela (Story ya kijasusi)

Noma kweli
 
Yaani kama chai umetia sukari nyingiiii au kama mtu kajipaka mafuta mengiii(kajidodeka)hadithi hii msisimko umepitiliza hongera sana LEGE haichoshi kuisoma.
John anakumbuka mambo ya miaka ya 1986 cha ajabu kulikuwa na simu wanapigiana

Kwani mtunzi alishindwa kusema wahusika walionana kwa kukutana moja kwa moja?
 
John anakumbuka mambo ya miaka ya 1986 cha ajabu kulikuwa na simu wanapigiana

Kwani mtunzi alishindwa kusema wahusika walionana kwa kukutana moja kwa moja?
Toka miaka y 1960's majasusi walikua wanatumia simu ndugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…