Peniela (Story ya kijasusi)

Pole Sana Mkuu LEGE bora umerejea Jukwaa lilipoa Sana
 
Hii simulizi kipindi kile ambacho inaanza nilikuwa naifuatilia mnoo tena sana ...Lakini Tangu alivyo kufa Judge elibariki na motisha ya kuisoma yote ili nitoweke ' nilisikitika sana "shida na tabu alizo zipitia kwaajili ya kuipigania haki " Muandishi hakupaswa kumlipa mauti ..ni kweli alikuja kuwa msaliti lakini muandishi walau angejaribu kukwepesha kifo dhidi yake na kuonekana kwamba mipango ya usaliti wake ili kuwa ni mtego wa kumnasa raisi na kumchunguza kwa wepesi na hatimae kummaliza huku akiwa ana shirikiana kimya kimya na kina mathew .... jaji elibarick ndiye aliye tukutanisha na kina peniela kina mathew na characters wote waliopo katika hii simulizi . tangu alipo isimamia kesi ya peniela na kumpatia haki yake ya ushindi nili muhesabu kama jeshi la mtu mmoja ...

All in all hii simulizi ni Moto wa Kuotea Mbali "...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daahh bonge la story ....lakini peniela alipaswa kuwekwa behind the bars ..alipaswa kuyajutia maamuzi yake ya Tamaa aliyonayo ....

Tumeona Muandishi
Akimuadhibu Elibarick na wale wote walio mgeuka kwaajili ya vitendo vya Tamaa

Lakini peniela ameshindwa kumuashibu akampa nafasi ya upendeleo "

Sent using Jamii Forums mobile app
 
napita kimya kimya baada ya kuipata hii hadithi,shukran nyingi kwako mtunzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…