Kweli kabisaNahisi hilo kanisa walimoingia ndo kuna kasha lingine la Peniela aliloambiwa na John. Na hao watu ni watu wa John
Ingia group la watu lazima mkuuuMkuu naomba link ya story ya Danny
liko wapi hilo group mkuu namimi niingie hukoIngia group la watu lazima mkuuu
Hata mimi hasa zile za marudio. Maana katika kiuandishi tunaamini mtu hawezi anzia story katikati. Kwa mantiki hiyo kurudia rudia yale yliyopita ni kuwachosha wasoma. Kuna vitu vingi sana havina maana lakini mwandishi kavirudiaMi kuna sehemu sisiomi kabisa ni kisha pata picha ya kinachofuata, mfn Ishu ya Dr. Joshua waalivyoingia kwenye mahusiano na Peniela, nimeipotezea yote, ikapita hivi, nikatafuta sehemu ya Mathew ndio nikaendelea na simulizi.
Anyway wacha tuamini kuna watu wa kila aina na hulka zao. Tumsamehe bure hajui alitendaloUyu jamaa ni kichwa maji.
Everyone has his own perception, now you can believe what you believe. Na sijakulazimisha ukubaliane na kile nikiaminicho mm. That's my views about writing style. Ndio maana hata movie mimi nina flavor yangu na wewe una yako. Ila wanao jua na kufuata taratibu za uandishi watakuwa wanaelewa ninachomaanisha. Tuendelee kuburudika mkuu.Sikubaliani nawewe..ule mtiririko ndio unaotakiwa.
Kila mtu ana role yake. Usione kitu kimetoka vizuri ukafikiri kilijitengenza. Hapana ni kutokana mawazo ya reviewers ambayo huboresha na kitu kuwa kizuri. Hakuna MTU ambaye yupo perfect na ndio hata tunapoandika barua ya muhimu huwa tunaomba jicho jingine liangalie kama kuna makosa. Hapa tunamjenga mwandishi. Kumbuka mawazo yako ni muhimu sana kwa kazi zake zijazo.Mwambie atunge na yeye yake aipeleke kule kwenye jukwaa la "kupaka kitumbua mate"
Nami nahisia hizo. Bila shaka John mwaulaya alimwambia Matthew kama kuna shida awasiliane na yule padri. Ila Penny hana utulivu kashanywa kuhusu kuuliza lakini anataka kujua kila kitu. Hapa ndipo utakapotambua kwamba wanawake hawanaga Subira wala uvumilivuNahisi hilo kanisa walimoingia ndo kuna kasha lingine la Peniela aliloambiwa na John. Na hao watu ni watu wa John
Everyone has his own perception, now you can believe what you believe. Na sijakulazimisha ukubaliane na kile nikiaminicho mm. That's my views about writing style. Ndio maana hata movie mimi nina flavor yangu na wewe una yako. Ila wanao jua na kufuata taratibu za uandishi watakuwa wanaelewa ninachomaanisha. Tuendelee kuburudika mkuu.
Kwa kweli kama ni kosa mbalo nimeona toka nianze kusoma ni moja tu. Otherwise story imegusa kunako ile mbaya mkuu. Wale watunzi wa enzi hizo ndio huyu jamaa anafuata nyayo zao. Yaani mwandishi ametufanya tusiweze kupredict nini kitatokea. Visa vinazidi kujitokeza kila uchao which is good thing. Hii story imebamba mbayaMasuala ya taaluma lazima tuheshimu. Hawa waandishi hawaanzi tu kuandika. Ni watu kwenye taaluma ya fasihi. Kama MTU anamaoni tofauti unatakiwa kuyatoa kama uchambuzi wa Kazi ya fasihi/Sanaa. Mimi Nina taaluma yangu ya mambo ya uhandisi huku kwenye fasihi nahheshimu tu taaluma ya MTU.
Kwa ujumla Mwandishi wa riwaya hii yupo vizuri sana.
Inabidi uwaombe moderators wakuingize kama utakua umetimiza vigezoliko wapi hilo group mkuu namimi niingie huko