Peniela (Story ya kijasusi)

sijajua mnachokilalamika ni nn wakuu jana nilisema kuwa kama nitapata mda ule ule usiku nitaongeza 5 but nilizongwa na mambo nikashindwa na niliwaambia kuwa kama nitashindwa basi tukutane saa 2 usiku wazee??

mbali na JF kuna maisha mengine ndio maana kila mtu aningia kwa mda wake anapopata mda wengine kutwa mnashinda kwenye pc au na sim mkononi mkiperuz sababu shughuli mnazozifanya zinaruhusu ila ss wengine ni ngum sana wakuu.tuvumiliane.mwanzo nilijitahidi sana lkn now time zinanibana
 

Kaka ucmind ni Mapenzi tu Kwako mkuu ndo waona hivyo ila hakuna anae kulalamikia bali ni Mbwembwe tu
 
Usisikilize sana malalamiko hayo. Tafuta maisha mkuu, haya mengine in ziada tu. Wala siyo deni, kwamba umekula hela za watu.
Utaratibu uliouweka binafsi nauona upo poa tu.
 
LEGE big up kwa kubeba jukumu hili asiyeridhika aifuate huko unakoitoa wewe, watu wanalalama unadhani wamekuajiri? Chaaaaa! Leta kadri muda unavyokuruhusu.
 
Mkuu isijisikie vibaya juu ya hisia za followers wako, hilo ni jambo la kawaida. Addiction ni mbaya sana bila kujali ni addiction ya nini. Hii story ina-addict na ndio maana unaona hivo. Hiki kinachotokea kinanikumbusha issue ya Naomi na Elibariki, vile Naomi alishindwa kuvumilia akaona kama mbwai, mbwai tu.
 
Usisikilize sana malalamiko hayo. Tafuta maisha mkuu, haya mengine in ziada tu. Wala siyo deni, kwamba umekula hela za watu.
Utaratibu uliouweka binafsi nauona upo poa tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23],
Dizain kama namuona jaji Elibariki wa JF akitokwa jasho kwa maneno ya LEGE
Ikiwezekana leo piga kimya!
 
Mkuu leo hata husipotuma sawa tu, wala watu watembelee majukwa mengine wajue nchi yao inavyokwenda.
 
Take your time mkuu, utakapo kuwa na nafasi mwaga hapa, ukiwa tight angalia ishu zako. Twende mdogo mdogo tutafika tu.
 
Mkuu tunakuelewa na tunakukubali sanaaa tatizo ni kwamba umetuomjesha kitu kitamu sasa kila saa tunataka kulamba lamba utusamehe bure.Wewe ni super star kwahiyo tegemea haya mkuu .Keep it up LEGE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…