ππππNDOA yangu ipo matatan muda wooote mi napyatila tu usiku kucha
Pole sanaNDOA yangu ipo matatan muda wooote mi napyatila tu usiku kucha
Ya husen tuwa mkuu.mkuu miss tanzania zipo 2 ww waitaka ipi ipo ya patric na ipo ya husen tuwa bingwa wa taharuki
Mkuu I hope muda si mrefu mambo yatakuwa vizuri khs Pennymkuu miss tanzania zipo 2 ww waitaka ipi ipo ya patric na ipo ya husen tuwa bingwa wa taharuki
mm niliosoma ngoja nitakufanyia mpango nione utaipataje?? upo wapi mkuu kama upo dar nitafute kazi za husen tuwa ninazo zote na now anatoa nyingine ya kuijasusi kipelelezi inaitwa WIMBO WA GAIDI hiyo hata hii ya peniela inasubili mkuu.kama utataka nikulambishe nayoYa husen tuwa mkuu.
There you are my super star....welcome to the world.We are waiting for youππππna popcorn pembenindio maana nimejisogeza pande hizi mkuu
lege fanya mambo...bandika banduamm niliosoma ngoja nitakufanyia mpango nione utaipataje?? upo wapi mkuu kama upo dar nitafute kazi za husen tuwa ninazo zote na now anatoa nyingine ya kuijasusi kipelelezi inaitwa WIMBO WA GAIDI hiyo hata hii ya peniela inasubili mkuu.kama utataka nikulambishe nayo
Mkuu ndio mida yenyewe, tupia vituhahahaha pole sana mkuu achana nayo wengi wanalalamika ikitupiwa mchana bora usiku uchelewe kulala lkn sio mchana ushindwe kufanya kazi
Mkuu, mavitu kama haya ndio ya kushirikishana, ambao tupo mkoa inakuaje?mm niliosoma ngoja nitakufanyia mpango nione utaipataje?? upo wapi mkuu kama upo dar nitafute kazi za husen tuwa ninazo zote na now anatoa nyingine ya kuijasusi kipelelezi inaitwa WIMBO WA GAIDI hiyo hata hii ya peniela inasubili mkuu.kama utataka nikulambishe nayo
hahahaha pole sana mkuu achana nayo wengi wanalalamika ikitupiwa mchana bora usiku uchelewe kulala lkn sio mchana ushindwe kufanya kazi
mkuu soma hii kama story tuKuachana nayo haiwezekani kiongozi inanifundisha sana mbinu za CIA