Pensheni ya urithi ya NSSF kwa mtoto mwenye miaka zaidi ya 21 hatakiwi kupewa?

Pensheni ya urithi ya NSSF kwa mtoto mwenye miaka zaidi ya 21 hatakiwi kupewa?

A

Anonymous

Guest
Mimi ni mtoto wa marehemu ambaye alikuwa mwanachama wa NSSF amefariki akiwa na umri wa miaka 57 lakini alikuwa bado hajastaafu.

Marehemu hakuwa na mume, na wazazi wake wote wawili walishafariki na sisi tupo wawili, lakini wote tuna miaka zaidi ya 25.

Nimeenda kudai mafao NSSF Ilala, nimeambiwa kwa mujibu wa muongozo waliopewa kuanzia mwaka jana 2023, mafao ya marehemu yanatolewa tu kwa Mwenza wa marehemu, watoto wa marehemu wenye miaka chini ya 18 au kwa mwenye miaka chini ya 21 kama anasoma na kwa wazazi tu.

Kwakuwa sisi warithi wote tunazaidi ya miaka 21 hatuwezi kupewa na kwakuwa marehemu hajaacha mume wala wazazi basi hela yake hawezi kupewa mtu.

Je, hii taarifa ni ya kweli?
 
Mimi ni mtoto wa marehemu ambaye alikuwa mwanachama wa NSSF amefariki akiwa na umri wa miaka 57 lakini alikuwa bado hajastaafu.

Marehemu hakuwa na mume, na wazazi wake wote wawili walishafariki na sisi tupo wawili, lakini wote tuna miaka zaidi ya 25.

Nimeenda kudai mafao NSSF Ilala, nimeambiwa kwa mujibu wa muongozo waliopewa kuanzia mwaka jana 2023, mafao ya marehemu yanatolewa tu kwa Mwenza wa marehemu, watoto wa marehemu wenye miaka chini ya 18 au kwa mwenye miaka chini ya 21 kama anasoma na kwa wazazi tu.

Kwakuwa sisi warithi wote tunazaidi ya miaka 21 hatuwezi kupewa na kwakuwa marehemu hajaacha mume wala wazazi basi hela yake hawezi kupewa mtu.

Je, hii taarifa ni ya kweli?
Hili hata mim limenitokea kwakwel aisee yaan huu utaratibu ni wa ajabu sana pale NSSF
 
Ila hawa jamaa dhulumati
Kwenye kuchukua michango rahisi ila kumlipa mwanachama sasa
Hebu fikiria mtu ana miaka 40 au 35 ana million 20 ,10 au 30 za mchango wake ila hapewi mpaka afikishe miaka 60
Kwa nini kwenye kuchukua pesa za watu iwe rahisi ila kurudisha masharti kibao
 
Ila hawa jamaa dhulumati
Kwenye kuchukua michango rahisi ila kumlipa mwanachama sasa
Hebu fikiria mtu ana miaka 40 au 35 ana million 20 ,10 au 30 za mchango wake ila hapewi mpaka afikishe miaka 60
Kwa nini kwenye kuchukua pesa za watu iwe rahisi ila kurudisha masharti kibao
NSSF ni wababaifu sana aise
 
NSSF hadi Leo hawajaja Hadharani hapa kumsaidia huyu mtoa mada usijekuta hela inapigwa.
 
Mimi ni mtoto wa marehemu ambaye alikuwa mwanachama wa NSSF amefariki akiwa na umri wa miaka 57 lakini alikuwa bado hajastaafu.

Marehemu hakuwa na mume, na wazazi wake wote wawili walishafariki na sisi tupo wawili, lakini wote tuna miaka zaidi ya 25.

Nimeenda kudai mafao NSSF Ilala, nimeambiwa kwa mujibu wa muongozo waliopewa kuanzia mwaka jana 2023, mafao ya marehemu yanatolewa tu kwa Mwenza wa marehemu, watoto wa marehemu wenye miaka chini ya 18 au kwa mwenye miaka chini ya 21 kama anasoma na kwa wazazi tu.

Kwakuwa sisi warithi wote tunazaidi ya miaka 21 hatuwezi kupewa na kwakuwa marehemu hajaacha mume wala wazazi basi hela yake hawezi kupewa mtu.

Je, hii taarifa ni ya kweli?
Kikokotoo hiicho ...na hata kama mngekuwa chini ya miaka 18 ...mtahudumiwa Kwa miaka mi5 tu. Halafu fedha inabaki Serikalini ...... Kikokotoo oyeeeee....oyeeeee.... CCM oyeeeeee....... Oyeeeee. Mama anaupiga mwingi.
 
Mimi ni mtoto wa marehemu ambaye alikuwa mwanachama wa NSSF amefariki akiwa na umri wa miaka 57 lakini alikuwa bado hajastaafu.

Marehemu hakuwa na mume, na wazazi wake wote wawili walishafariki na sisi tupo wawili, lakini wote tuna miaka zaidi ya 25.

Nimeenda kudai mafao NSSF Ilala, nimeambiwa kwa mujibu wa muongozo waliopewa kuanzia mwaka jana 2023, mafao ya marehemu yanatolewa tu kwa Mwenza wa marehemu, watoto wa marehemu wenye miaka chini ya 18 au kwa mwenye miaka chini ya 21 kama anasoma na kwa wazazi tu.

Kwakuwa sisi warithi wote tunazaidi ya miaka 21 hatuwezi kupewa na kwakuwa marehemu hajaacha mume wala wazazi basi hela yake hawezi kupewa mtu.

Je, hii taarifa ni ya kweli?
Swala hili limenitia jazba sana. Na kama ni kweli basi serikali inachochea uvunjifu wa amani
 
Kikokotoo hiicho ...na hata kama mngekuwa chini ya miaka 18 ...mtahudumiwa Kwa miaka mi5 tu. Halafu fedha inabaki Serikalini ...... Kikokotoo oyeeeee....oyeeeee.... CCM oyeeeeee....... Oyeeeee. Mama anaupiga mwingi.
CCM ni adui wa maendeleo
 
Back
Top Bottom