Pensheni za CCM

Pensheni za CCM

mwanamasala

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2009
Posts
248
Reaction score
12
Balozi wa Tanzania nchini Urusi, Jaka Mwambi amelipwa Sh. 16,320,000 zikiwa pensheni kwa kutumikia CCM.

I cant imagine Balozi wa USA hapa Tanzania,alipwe pensheni ya say Republican party kwa kukitumia chama chake.

WanaJF mjue hela zote za BOT scandals,EPA ,Meremeta ndio zinafund CCM.Ndio maana Rostam Aziz atatesa mpaka siku ya kufa
 
Back
Top Bottom