Pension Firm Zamara set to erect 30 floor twin tower property in Westlands Nairobi.

Nairobi is waaay smaller area wise compared to Dar. It would be sad if Nairobis real estate was worth more.
But hua mnatamba sana btw to be honest Nai is such a nice city..but it doesn't mean dar isn't. ..
 
But hua mnatamba sana btw to be honest Nai is such a nice city..but it doesn't mean dar isn't. ..
Wewe uko reasonable sana. Very unusual for people from your country
 
Nyinyi mmekuwa LDC since independence na chama cha CCM ama nimeongeza chumvi kaka?
 
Nyinyi mmekuwa LDC since independence na chama cha CCM ama nimeongeza chumvi kaka?
Kuhusu Ilo ni ukwel..but Ata wewe sidhan ama ni jubilee itakufanya uwe na Mali, lazima uweke bidii binafsi sana ,bado kuna watu wanaamini serikali itawafanyia mambo flan flan ndio hao huturudisha nyuma...but slowly iyo dhana inaanza kwisha na watu wameaamka. ..sidhan kama nna jibu is zaidi kaka
 
Mimi sitegemei serikali babaa.
 
Mwenzako akasema 30% wewe unasema 25%. Mimi ninasema bring the source, ndio at least utuconvince.
hahahaha pengine nikuulize over 25% ina maanisha nini kwanza?πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€nitakusaidia.. over 25% inamaanisha zaidi ya 25%...meaning tunahesabu kwa kuanzia 26% kwenda juu....sasa swali ni hiliπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€...30% ni zaidi ya 25% au la?πŸ˜€πŸ˜€
 
Everything I hear from Kenya is PLAN, PLAN, PLAN. There is no even a single success
story out of those plans.
You Kenyans when will u wake up n stop dreaming?
So Avic is a dream?
All those buildings in Upper Hill are dreams or is it you steeped in Ignorance???
 
where is this building? Any foots? 🀣 🀣 🀣 πŸ˜€ πŸ˜€ 🀣 🀣 🀣 πŸ˜€ πŸ˜€
 
where is this building? Any foots? 🀣 🀣 🀣 πŸ˜€ πŸ˜€ 🀣 🀣 🀣 πŸ˜€ πŸ˜€
Do you have any planned skyscraper building Dar? What about proposed? Even under construction hakuna huko Dar.
 

GTC pekee inafunika hizo zote.

GTC 43, 35, 33, 31, 31, and 29 floors.
 
Everything I hear from Kenya is PLAN, PLAN, PLAN. There is no even a single success
story out of those plans.
You Kenyans when will u wake up n stop dreaming?
Bagamoyo, Kakkuona, Salendar, Kawe City, Kigamboni city.........unataka niendelee na mambo yenu ya Tuta- ama niache?
 
B.s of the highest order, Nairobi is full 1980s buildings

1. There was no building with over 30 floors in Nairobi in 1980s, currently we have 10 topped out already with one over 40 and several under construction. Acha kusikiza watu wa sisiemu na upate facts.


2. Sio eti jengo likijengwa 1980 ni bovu, jengo linalopendwa zaidi ulimwengu mzima ni Eiffel Tower ya France na lilijengwa mwaka wa 1889. Mji wa London majengo yake mengi ni zama zile ila huwezi linganisha hiyo Dar is slum yake kwa London. Kisha kuna majengo ya zama zile hapa Nairobi ambayo yana mvuto kushinda yenu ya juzi. Mfano, C-op Bank Tower lilijengwa 1981 na lina mvuto zaidi ya majengo ya kwenu ya juzi kama vile Rita Tower Uchumi House.
 
Swasit Nairobi ilitupa run 15 yrs ago no more..hehehe see sleeping giant ameamka ...lilongwe is nowhere even close to Arusha not even mombasa,jipe time

Are you seriously comparing Arusha to Mombasa? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 

Yani bado mmeshikilia tu ile report ya 2015? πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Tembea Nairobi and see what tall buildings look like, wacha Kujidanganya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…