Pentesting; Jinsi ya kuexploit na kuaccess Free Unlimited Internet kwenye Android na iOS kwakutumia Tunneling Apps.

Swali langu la Pili ni kuhusu Baada ya kupata host je ni lazima kutengeneza file kwa Payload au mtu ana weza kutengeza file la V2ray ? Aidha host ya Cloudfale ni lazima kutumia kwa mfumo wa V2ray au payload
Host iexploit angalia method inayopita, cloudflare sio lazma V2ray
Mfano hii ni payload sio ya V2ray

Payload

HEAD /UNLINK/CHECKOUT HTTP/1.2[cr]
Host: www.xxxxzyzy.com[crlf]
[split]
REBORT /NOTIFY HTTP/1.4
Host: cloudflare.gdjkdkdhhe
Upgrade: websocket[crlf][crlf]


Kupitisha host Kuna muda lazma utumie try and error ili kuexploit payload inayopita
 
Swali langu la Pili ni kuhusu Baada ya kupata host je ni lazima kutengeneza file kwa Payload au mtu ana weza kutengeza file la V2ray ? Aidha host ya Cloudfale ni lazima kutumia kwa mfumo wa V2ray au payload
Kawatag na google pia maana elimu hii haitolewi JF pekee mkuu.
Shukrani sana kaka endelea kutoa elimu kifupi wengi tuna hitaji elimu hii, acha na watu ambao Kila kitu Wana jadili kwa mawazo ya kitoto.Hii ni elimu kubwa Sana na ya msingi mtu kuwa nayo.
 
Swali: hao developer wa hizi apps wao wananufaika vp kama sio kuiba data zetu?
 
Swali: hao developer wa hizi apps wao wananufaika vp kama sio kuiba data zetu?
Kwani ukiinstall Tunnel app inakuomba permission ya kuaccess nini tuanzie hapo ?
 
Yaani hii yote ili tu kuiba bando au kupata net......!! Ama kweli kwenda shule sio ujinga ila kuwa chawa kutajirika..............yaani hapa hata baba levo hawezi kutusua hata definition tu ya VPN
 
Somo zuri sana asee, ngoja nikitulia nifatilie mwanzo mwisho
Mkuu tuseme nina host let's say kwenye CDN finder imeandika Alibaba, nahitaji vitu gani ili nipate net.
 
Somo zuri sana asee, ngoja nikitulia nifatilie mwanzo mwisho

Mkuu tuseme nina host let's say kwenye CDN finder imeandika Alibaba, nahitaji vitu gani ili nipate net.
Angalia kwanza response inazoleta ukiwa unarequest header.
Njia za kupita sio kwamba ipo Moja fixed, exploit header afu jaribu kuangalia script unazopiga zinarespond vipi. Alibaba pia Wana Tengine, zingatia http status codes hizi

100 - 199 hizi ni information response, server inaweza kuwa inacontinue (100), inaswitch (101) protocol au inaprocess (103) n.k

200 - 299 hizi status ni za successful response ya server unayoconnect japo zina majibu tofauti, successful connection (200), Http successful request lakini inaleta new information ni (201), http request ikikubaliwa bila kufanyiwa kazi huleta (202), na 203 manake imekubali lakini inaleta taarifa kutoka server nyingine.

300 - 399 hizi ni status za ridirection, mfano umecheck server response ikakupa 302 hii sio kwamba hazipiti ila ISP anaweza kuwa kablock payload na kukuridirect kwenye web nyingine, ambayo atakunyima access.
Ila 301 ndio anakuwa kaimove permanently.

400 - 499 hizi za kuschana nazo mana ni error response.
 
Unyama tupo
Tunafatilia mzee
 
Shukrani sana kaka, na ni vipi unajua hii nitatumia method flani, mfano ipo nita tunnel kwa V2ray, , ipi ni SSL/TLS au tu direct SNI mfano za HA tunnel.
 
Shukrani sana kaka, na ni vipi unajua hii nitatumia method flani, mfano ipo nita tunnel kwa V2ray, , ipi ni SSL/TLS au tu direct SNI mfano za HA tunnel.
Direct SNI kama ha tunnel ni chache sana zinazopita,
Ukijua response ya host method jaribu kutumia websocket, angalia majibu unayoipata ndio utaona kama urotate au utumia V2Ray,Xray.

Ukiweza kuconnect kama haikupi data Kwa v2ray ndio unaangalia mbadala wa kupiga script kwenye VPS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…