NYASI-MSESE
Member
- Jun 16, 2015
- 31
- 60
Mama mmoja kutoka Kenya, ameonekana kuwavutia watu wengi nchini humo baada ya kuja na design ya kujenga nyumba yake ya kuishi juu ya nyumba ya wapangaji wake (landlord amekalia tenants).
Mama huyo ambae ni nurse kwa taaluma anaefanya kazi USA aliamua kuja na hio idea ambapo baada ya kumshirikisha builder wake ambaye alimuhakikishia kwamba design hio inawezekana kufanyika.
Anasema wakati huo alikuwa na plot moja hivyo ili kumaximise space aliamua kuja na wazo hilo iconic la kujenga nyumba ya chini kwa ajili ya wapangaji wake (apartment) na juu yake ni nyumba ya kuishi yeye (Penthouse) ambapo azma yake ilifanikiwa ndani ya miaka 4.
Nyumba hio iliopo maeneo ya Zimmerman ime-trend sana nchini Kenya.
Je, tutarajie kuona nyumba kama hii hapa Tanzania?
Mama huyo ambae ni nurse kwa taaluma anaefanya kazi USA aliamua kuja na hio idea ambapo baada ya kumshirikisha builder wake ambaye alimuhakikishia kwamba design hio inawezekana kufanyika.
Anasema wakati huo alikuwa na plot moja hivyo ili kumaximise space aliamua kuja na wazo hilo iconic la kujenga nyumba ya chini kwa ajili ya wapangaji wake (apartment) na juu yake ni nyumba ya kuishi yeye (Penthouse) ambapo azma yake ilifanikiwa ndani ya miaka 4.
Nyumba hio iliopo maeneo ya Zimmerman ime-trend sana nchini Kenya.
Je, tutarajie kuona nyumba kama hii hapa Tanzania?