Penye nia pana njia

Penye nia pana njia

Mr possibility

Senior Member
Joined
Mar 19, 2020
Posts
175
Reaction score
134
Salam wadau wa JF

Lengo kuu la thread ni kuomba ushauri Pamoja na msaada wa kimawazo ikiwezekana..

Ni kuwa mimi niko kwenye harakati za kufanya Muziki(baadhi ya wadau ambao wamepata kunisikiliza wananipa moyo sana kuwa muziki nauweza ukianzia kwenye uandishi wa nyimbo..nk)

Tatizo ni kuwa pakuanzia ndio kikwazo hasa ukizingatia maproducer wengi hapa bongo cha kwanza kinachoangaliwa ni fedha na mimi kwasasa siko vizuri kiuchumi.

Hivyo kama utakuwa na msaada(sio wa kifedha) naam nauhitaji wakuu...mfano connection nk

Natanguliza shukrani🙏🙏🙏
 
Weka link ya ngoma yako hata moja nione namna ya kukusaidia.kuna jamaa angu ni producer anafanya kazi BICON STUDIO, so kama vipi tochonge tu kama upo serious
 
Hi trend watanzania wataipita ila cku ikianzishwa ya Fulani kufukuliwa mtaro wanakuwanga wengi kinyaxsi


Kichwa Cha habari Ni hivi

Nitoke na Nani ili nitoboe kimziki
 
Ngoja wadau waje watakusaidia, au kama vipi nenda hawavumi lakini wamo kwa yule jamaa wa ITV 😅 😅 😅

Tatizo ya kuwamanage wasanii wa Bongo Fleva, kabla hawajatoka ndoto yao inakuwa kutoka wakafahamika, hata umpe mkataba gani atasaini, ila akishatoka anaanza kuona unamnyonya anasahau kuwa mtu aliwekeza pesa yake inabidi irudi na bado haijarudi. Ndiyo maana unasikia muda kidogo baada ya kutoka ashazingua eti anatafuta management mpya anakuachia maumivu.
 
Mkuu yote uliyoandika yana ukweli na nimeshafikira kuhusu hilo hivyo nitapambana kuepukana nalo🙏🙏🙏cc Nafaka
 
Nenda kwa yule mzee wa hawavumi lakini wamo ITV

Utaskia oya kula chuma hicho
 
Back
Top Bottom