Penzi binafsi linaumiza mgongo?

Kuna daktari maarufu kule Kibaha anaitwa Dr.Bake nakushauri ukaonane naye
...Kweli kabisa...Dr. mzuri sana kwa matatizo ya mifupa...But namshauri awe muwazi tu kuwa alikung'uta nyeto kwa muda mrefu then aendelee....!!
 

Mkuu nakubaliana nawe, wengi wetu kulingana na nature za kazi tunatumia muda mwingi ofisini tumekaa, hivyo kiti kinasehemu yake na break za hapa na pale zinasaidia. Kaisari wangu anakitengo kinasimamia hili!
 
.....mwone doctor kwa uchunguzi zaid.......
 
Kaka niambie kama umepita TMA (zamani CTU) au vyuo vya UWT kama ulipita huko ujue una tatizo kubwa kwani ligaments zilizoko katikati ya vipingili vya uti wa mgongo zimevimba. Tatizo hilo linawakuta sana watu waliofanya mazoezi ya nguvu huko nyuma na kuacha. Piga X-ray kaka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…