Tetesi: Penzi la Diamond na Kimnana kuota Mbawa!

Tetesi: Penzi la Diamond na Kimnana kuota Mbawa!

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Yani Toka zari apost UA jeusi domo naona anahangaika kujifariji lakini wapi , anabadilisha kila wanawake Ila wapi . Sasa huyu kimnana nae kujikuta kafika na kuanza kujishau, Ila nilijua tu ata nusu fainal hafiki, maana sura alikua Hana , nyota ndo usiseme, yani lipo lipo tu kama gogo, akili kichwani ndo zero .

Kwa hali inavyoonekana, ni Wazi domo atajirudisha kwa zari, hizo trip za kila siku south kujifanya anaenda ona watoto na zawadi Hana lolote, Tatizo domo ako na pride , too much ego anashindwa tu kuomba msamaha.

Nilivyomuona zari Jeuri Toka aachane na domo , hawajawahi kukanyaga Tz sijui kujifanya anakuja kuwaleta watoto kwa bibi Yao , ye yuko busy na life lake na anajimudu vizur , domo ndo kila siku kujipendekeza kuona watoto , kweli zari kiboko , she knows her value , lazima domo ajipendekeze.

Huyu kimnana ananipotezea muda tu kumdiscuss maana Hana jipya, Ila nasikia katimuliwa madale, hatakiwi tena , eti Kisa ile video kaulizwa makamo wa raisi shoga akabak kuduwaa, ndo wanawake wa domo hao mazumbukuku kama yeye
 
Yani Toka zari apost UA jeusi domo naona anahangaika kujifariji lakini wapi , anabadilisha kila wanawake Ila wapi . Sasa huyu kimnana nae kujikuta kafika na kuanza kujishau, Ila nilijua tu ata nusu fainal hafiki, maana sura alikua Hana , nyota ndo usiseme, yani lipo lipo tu kama gogo, akili kichwani ndo zero .

Kwa hali inavyoonekana, ni Wazi domo atajirudisha kwa zari, hizo trip za kila siku south kujifanya anaenda ona watoto na zawadi Hana lolote, Tatizo domo ako na pride , too much ego anashindwa tu kuomba msamaha.

Nilivyomuona zari Jeuri Toka aachane na domo , hawajawahi kukanyaga Tz sijui kujifanya anakuja kuwaleta watoto kwa bibi Yao , ye yuko busy na life lake na anajimudu vizur , domo ndo kila siku kujipendekeza kuona watoto , kweli zari kiboko , she knows her value , lazima domo ajipendekeze.

Huyu kimnana ananipotezea muda tu kumdiscuss maana Hana jipya, Ila nasikia katimuliwa madale, hatakiwi tena , eti Kisa ile video kaulizwa makamo wa raisi shoga akabak kuduwaa, ndo wanawake wa domo hao mazumbukuku kama yeye
Kwan kim nana na diamond waliwahi kuwa wapenzi??? Ina maana mtoa mada hujawahi kuwa na washkaj wa jinsia tofauti na wewe? Au kila ambaye anakuwa karibu yako unamweka mpenzi wako?
 
Hahahaaaa nmecheka tu, ila huyo dem hamna asee diamond hapo kabugi
 
Back
Top Bottom