Penzi la Gheto Linavyotibuka: Shani alivyogeuka baada ya kufika Mjini

Ungekuwa ni wewe ungekubali kurudiana na mtu aliyetaka kukuua? Huwa ana waomba rafiki zangu waniambie nimsamee ila sio shida zangu huko nishatoka?
Ni ngumu lakini ndiyo hatima ya dada zetu wanajisahau sana wakiwa kwnye pick, kuwapitezea wenye nia njema dhidi yao.
 
Pole sana ndio kukua huko haya sasa umeshawajua na wewe anza kumtafutia timing umlipishe kisasi.

Mimi kuna m'moja alinizingua tukiwa wadogo, tulikuja kutana ukubwani. Ameshazalishwa watoto wawili baba tofauti hana ramani. Yupo huko mkoa. Nikawambia huwa nakuja sana hapo mkoa.

Mixer kuna siku nilienda hadi kwa wazazi wake maana dada yake alishakaa kwetu so akanialika na yeye akatilia uzito. Nikamnunulia mama yake kitochi cha nokia 105,na baba yake nikamnunulia infinix. Walizipenda sana zawadi zao.

Demu si akaanza kuloa na mimi tena. Nikasema utajua haujui. Yaani mimi huyo uliyenikomoa leo hii nikupe tena moyo, utajua haujui. Nikamshonea mtoto wake uniform na kumtumia viatu na begi. Yeye nikamkuta anakaa nyumbani kwao nikampangishia nikawa nafikia hapo nikienda mkoani manyara kwenye shughuli zangu.

Huku na kule demu kajaa mazima akawa mimi ndio tumaini lake. Kuna kipindi alileta story za kutambulishana kwao nikamwambia hilo nimekubali ila awe na subira.

Sasa hiyo kitu inamtesa sana. Ila angejua hata sio level zangu. Sasa nimeshamsindikiza sana na sasa ni mwaka unaenda wa 9 analalamika tu kuwa kama sina nia na yeye basi nimwambie. Huwa namwambia kama mwanzo anaona hakunikosea kwa kufanya maamuzi binafsi basi hata sasa anaweza rudia tena ila sitojali. Anakosa cha kufanya anabakia kuvumilia tu. Nimemshika pazuri pimbi yule. Na sina mpango nae. Nitamsindikiza hadi afike 45 au 50 kisha nampotezea mazima akileta lawama nampa makavu live kuwa yeye aliponitenda kipindi kile alinifikiria why yeye anataka kufikiriwa.
 
Duuh aiseee una moyo ila mimi siwezi kumrudia mwanamke ambaye nilimpenda kisha akaleta usaliti uwa namfuta kwenye akili yangu maana uwa kuna picha inakuja kuwa alikubali kumvulia nguo huyo tena kuna muda ilikuwa ikichomoka anarudishia duuh sitaki hata kuwa na ukaribu nae kikubwa muache atese na maisha yake apigike achoke sio shida zangu kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…