daaah ...mkeo yupo around?
huyo housegirl ni pepo huyo...mfukuze nyumbani kwako ...atakuachia balaa hutokaa usahau...mfukuze haraka
house girl sio pepo, anahaki kama wanawake wengine na anafeeling za kupendwa kama wanawake wengine. Tafuta pepo jingine
Inabd uamue haraka iwezekanavyo. Moja, itakuwa ngumu wewe kuachana naye kabisa kama bado anaendelea kufanya kazi kwako. Pili, kama roho yako imefikia hatua ambayo maisha yako hayendi bila ya huyo hg, inabidi uweke tu mambo hadharani- awe mkeo halali. Tatu, unaweza ama ukampangia room sehemu, kisha ukaendelea kufaidi wakati unajipanga kuhalalisha. Au mtafutie kazi mahali ambapo utakuwa na uhakika wa kuendelea kumpata.
Endelea kupiga huyo mkubwa sana 20yrs si kitoto,cha msingi angalia mazahausi asigundue,mwenyewe nna hausgel wang mzuri xana hapaa na nnap.. kama kawaActually ana miaka 20 na kupima ilikuwa ku-ensure usalama wetu. kuhusu kubaka si tunaelewana wajameni
kwani amesema ameoa??daaah ...mkeo yupo around?
huyo housegirl ni pepo huyo...mfukuze nyumbani kwako ...atakuachia balaa hutokaa usahau...mfukuze haraka
sijui ni kwa nini watu wamechukulia sana kua unamke?Wana JF naomba msaada/ushauri. Nimefall in love na house girl wangu (beki tatu), kila nikiweka maazimio ya kuachana nae nashindwa. Na kwasasa nimenogewa hasa. Tumepima na wote ni wazima kiafya. Naombeni ushauri, nitafanyaje ili niweze kuachana nae?
mmmh! alaaah kumbe ndo zenu eee? mm nikitafuta hs/g natafuta mbaya mbaya tu,tembea na wanawake wengine bt sio hs/g na siku ikitokea nikawafumania nachinja wote! wanawake mbona tuna kazi na hawa wanaume, Tufanyeje jamani hawa wanaume ambao unakuta ameoa then anatembea na hs/g wake?
uwana jf naomba msaada/ushauri. Nimefall in love na house girl wangu (beki tatu), kila nikiweka maazimio ya kuachana nae nashindwa. Na kwasasa nimenogewa hasa. Tumepima na wote ni wazima kiafya. Naombeni ushauri, nitafanyaje ili niweze kuachana nae?
kul tunda mkuu jivinjari,mtu umlipe mshahara mwenyewe halafu aliwe na waendesha boda boda au walinzi,kula tunda mi mwenyewe kuna kahouse girly kapya wife kakaleta kananivutia lazima nitakachinja soon