Penzi la mhudumu wa 'Lodge' Dodoma limenikosha mwenzenu

Hi ilinitokea Mimi mdaula njia ya kwenda dar,ile lodge nilifika siku ya kwanza kikaz nikaweka booking y room sa mbili usiku nikaendelea na majukum yangu nikarud kulala sa Saba usiku asubui na mapema nikasepa zangu,Sasa haijapita wiki nikapata ruti tena ya apo apo mdaula,nikachukua tena ile lodge safar hii nielenda kuweka booking sa moja usiku alafu say mbili nikalud yule manzi nikamkuta mapokez nikaa kwenye sofa nikamuuliza chakula akasema ngoja nipige sim wakuletee nikasema nielekeze tu nifate akanielekeza nikala fresh nikalud wakat nataka kuingia ndan nikapigiwa sim nikaendelee na kaz iliyo nileta nikampa funguo akauliza utarud saa ngap au kama kawaida yako night kali,nikajibu hapana leo nitawai aksema ukija sa tano utanikuta ila sa sita nitakua nimelala,wai mi nakusubili nikajibu sawa nikatoka na miangaiko yangu sa tano kweli nikalud

Sasa nikamwambia leo uje tulale wote panya rodi wasije nivamia akacheka na kusema una vituko ww Kaka,akanambia bas sawa ngoja nisubiri wateja nikifunga geti nakuja usifunge mlango kweli nikaingia room nikaoga nikakaa kwa bed baada ya dk20 akaja ilianza show kwanzia sa tano na nusu ad sa Tisa game ndo linaisha asee yule mtoto wa singida alijua kunipagawisha asee na vile nilikua kichupa kimejaa😂😂😂😂nilimwaga sperms kikombe Cha kahawa kilijaa ad zngine zikamwagikia kitandan za kutosha baat aliweka kanga yake mana mashuka yangeisoma namba😂😂,tukadoji kidogo sa kum na Moja tukastua Cha asubui Kisha akenda kufungua kilango,yaan nilihudumiwa kama mke na mume😁😁😁 sa moja akaja room akaniaga akasema anaenda fanya usaf ivyo nikitoka funguo niweke mapokez,yule binti haule sito msahau😘😘😘😂😂😂🙏🏽

Nikarud zangu moro town
 
Guest za dodoma ndani zina makahaba sanaa coz mji wote umefurika makahaba .....
 
Ulivaa condom?
 
Dunia siyo fair kwa kweli.

Malaya wa kujiuza anagawa bure na anahonga mteja!

Wewe umetongoza kwa ishara na utani kidogo tu ukapendwa!

Kuna watu washatupa ndoano zao hapo wakatukanwa na kuaibishwa bila mafanikio!

Nawe pia ulishasumbukia sehemu kupata penzi la mwanamke bila ya mafanikio.

Usipokuwa makini waweza dhani kuwa wewe ni bonge la handsome kivutio cha wanawake, kumbe ni mfumo wa kidunia ulikubeba: "usiyempenda kakutaka na unayempenda hakutaki".

Uvutano wa kimahaba uliowatokea ni natural, waweza kukupumbaza ukampenda mtu na ukadhani umepata na kumbe umepatikana.

Kwa hiyo mkuu, wakati wa kuchuna ngozi lazima tahadhari zote za uchakataji zichukuliwe na kuzingatiwa, maana waweza kujikuta umejijeruhi na kuumia vibaya bila ya kutarajia.
 
kwa Dom mbona hayo mambo kawaida sana. Kipindi flani miaka miwili iliyopita niliwahi kwenda Dom yalinikuta kama hayo japo maelezo tofauti kidogo. Nilikuwa na kazi ya wiki moja. nimefika nikatafutiwa lodge na mwenyeji wangu flani. Siku ya kwanza hapakuwa na shida, siku ya pili pia hapakuwa na shida sema nilianza kuteseka kisaikolojia kuona watu wanaingizana na kutoka vyumbani huku makelele ya wanawake yakiwa yamenivuruga akili. Siku ya 3 natoka zangu job mida ya saa 10 jioni, mdada akanipokea mzigo, kaja na funguo eti anakuja kunifungulia mlango kabisa. tunaenda kwenye korido mimi niko nyuma naangalia tu uumbaji wa Mungu binti kajazia ujazo wa wastani mguu wa bia. Huo ndo ugonjwa wangu. wakati anafungua mlango namtazama akili ikawa imeshahama kabisa. Alipomaliza kufungua nikamsukuma ndani huku namwambia achukue nguo anifulie. so nimemuingiza room kwa gia ya kuchukua nguo.

tulipofika ndani nikamshika shingo kwa nyuma na kumtekenya kisogoni alaf nikapitisha kidole sikioni mwake ghafla nikaona napewa ushirikiano wa kutosha. nikampida denda shongoni nyonya sana shingo ingiza ulimi sikioni mwake mtoto yuko hoi. Ghafla akanizuia nisiendelee wateja wanaingia bosi atakuja kumfukuza kazi wakikuta hakuna mtu reception. Basi nikamwacha akaenda na nguo za kufua. Nikalala saa 11 jioni hadi saa 3 usiku nikaja kuamka. nikaenda kutafuta msosi, niliporudi sikulala. nikawa nagara gara tu hadi saa 6. Mara paaap mlango unasukumwa tu bila hata kugonga. nilishukuru alikuja na kinga kabisa anasema bila kinga hafanyi.
 
Kwahiyo ulizini.
 
Uzinzi huo,Haya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…