Penzi la mke wa mtu....

inaweza kuwa mtego siku hizi watu wamepinda sana wanataka kuongeza kipato cha familia yao kupitia fumaninzi walilopanga
kuwa makini sana na dunia ya leo.dont do it man.
 
Pamoja na ushauri wote huu kama utafanya basi sikio la dawa halisikii kifo!!!
 
Serikali yako imebaba koba la maamzi yote makubwa,ya wastani na madogo. Huhitaji kupewa maneno mengi sana.
 
Acha kabisa kucheza na mke wa mtu, mpotezee huyo mwanamke kama umekataa hawezi kukufanya lolote.Jamaa linakufatilia..............:spy:
 
Acha kabisa kucheza na mke wa mtu, mpotezee huyo mwanamke kama umekataa hawezi kukufanya lolote.Jamaa linakufatilia..............:spy:
usikute hata hiyo kuwa karibu na ww ndiyo mipango ynyw ya kukufuatilia .angalia usije ukawekwa kwny kumi na nane zake.
 
mke wa mtu noumah....wakuu wamesha kushari chapa raba. naona unatafuta visababu/ vikusapoti umrukie huyo mke wa mtu. ushauri achana naye fulu stop..ndio
 
Kwanini uishi kwa wasiwasi?? Achana na mke wa mtu, c uoe??
 
unaonekana una ka-interest ku-du naye, kwa kuwa wote meamua kulipa visasi kwa kusingiziwa, jiombee yasikukute kwa nini uangaike na vibibi kiasi hicho? ushauri ni kwamba mwambie milango imefungwa mke wamtu sumu
 
Usithubutu kutembea na mke wa mtu mkuu!!!!
 
Epukana nae huyu mwanamke atakufikisha pabaya kama unaipenda roho yako na maisha yako....
 
baada ya kuaminiwa, ni vema uitunze na kudumisha imani aliyonayo huyu bwana kwako. Ni suala la kibinadamu tu. Binafsi nisingeweza kutembea na mke wa mtu ambaye ninamfahamu na ni jirani yangu. Kama unampend na kumjali jirani yako, sidhani kama unaweza kufanya kitu cha hivyo. Tunza heshima aliyokupa.
 
Japo mke wa m2 ni sumu lakin ni mtamuu nyie achen 2 wana jf. Pole kwa yaliyo kkuta
 
Katika maisha siku zote epuka kutembea na mke wa mtu; utakuwa salama kwa asilimia 80. Ukitaka kuona uchawi, ukitaka kuonja kifo, ukitaka kukosa mahali pa kuishi anza mchezo wa kutembea na wake za watu!
La kujiuliza hapa ni je wewe utakapokuwa umeoa na ukagundua kuna jamaa anatembea na mke wako, utamfanya nini? Basi hilo utakalofikiria ndilo nawe utafanyiwa.
Huyo mama ukizidi kuwa naye karibu halafu ukazidi kumkataa kama tunavyokushauri, ataamua kuvunja urafiki wako na mumewe kwa kumwambia kuwa wewe unamtaka, halafu itakuwa vagi kweli.

Acha kabisa kuwa nae karibu ikibidi punguza urafiki na mumewe. Kijana yaliwahi kutukuta sie!
Kumbuka, waweza kumchagua rafiki lakini huwezi kumchagua jirani
 
Unayafahamu makaburi?....................twende nikakuoneshe la kwako!
 
Acha kabisa hiyo maneno, wala haiihitaji ushauri. Mke wa mtu ni balaa. Yaani hata wasioamini mungu kwenye hili wanajua ni kosa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…