sauwaOkay but ukinyimwa maji ya kunywa usilalamike
mubaba
Kwa lipi?Naogopa kutekwa
Hunaga akilo we shangazi ndo maana unainamishwa sanaNipo na Mubaba wangu
Mubaba kweli kweli
Tuko simba day hapa nimesalimu amri, kwa machine ya jana amenifunga goli kizembe sana nikamwambia sawa Mubaba wangu, kesho unanislimisha simba ila me yanga dam dam
Nasemaje
Nasemaje
Mubaba buana, ako na penzi lake classic siwezi elezea,
Ana uchokozi kidogo, ana utani kwa mbali, ana upendo mwingi alafu ana sofa lake (kitambi) hilo, akikukamatia kwa mbele tu huchomoki
ni hayo tu, nimeletwa simba day ila nawaza mechi na penzi la Mubaba wangu ni moutoooooor
We mara ya mwisho kuinamishwa lini?Hunaga akilo we shangazi ndo maana unainamishwa sana
Weka sukari unywechai