Mwenzangu yupo UK na shoga yake ndomo mmh
Mmh maaana wale hata hawaelewek , nasikia ndomo kaenda kufanya video uko , kama anapakua atakuwa anafaid maana ommy ana mi hipsi hatar na ngoz nyororo sijui anatumia kipodoz gan
Kweliiii bora uachee tuu dushe tamu zaidii
Mmh maaana wale hata hawaelewek , nasikia ndomo kaenda kufanya video uko , kama anapakua atakuwa anafaid maana ommy ana mi hipsi hatar na ngoz nyororo sijui anatumia kipodoz gan
Hahahaaaa....dushe ni habari ingine shosti
Ni habari nyinginee Mungu alituweza hapooo
Aaah aah nyie machiz sana daah, nacheka sana apa
Unapenda eeh?? Ntajuaje kama unapenda sasa? Unajua m cpend mane no binamu
Hilo ndo la muhimu , maana unaongea sana nataka kuona matendo , bas sawa , tutaongea mtongoz wa kiutu uzima kuleee
Dia usiniache ntakufa kwa pressure my baby unataka nn kipyaa?
Nilitaka kuonja tu...basi tena nshaghairi sitaki kukupoteza babe...
Ahsante babe we ni wanguu