Penzi la sugar daddy linamtesa, afanyaje?

Penzi la sugar daddy linamtesa, afanyaje?

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
17,694
Reaction score
17,131
Mamdogo Penny
Money Penny enhe!
Mwana: niko na sugar daddy ila kama kijana daddy
money penny: kwanini?
mwana: penzi lake lanitesa sana, mwanaume anaenda kwa siku mara 3
money penny: ana umri gan
Mwana: na miaka 83
Money Penny: mkewe?
Mwana:alishakufa
Money penny: sasa shida ni mkewe au round?
Mwana: round mama utadhani ana miaka 20 buana,
Money Penny: au anatumia mkongojo, sijui mkongo sijui viagra?
Mwana: anatumia viagra ila hii kali,ni kama nalipia hela anazonipa, sijui nafanyaje kwakweli

haya wana, muje mumsaidie aafanyaje, penzi la suga daddy lamtesa!
 
Aweke ugoro ili waende sawa
Koment yangu mtu asiiguse 🤣🤣🤣
Ugoro utamuathiri zaidi yeye kuliko mwanaume.

Kwanza, ugoro huleta harufu mbaya sana ukeni.

Pili, husababaisha muwasho na kuua wadudu rafiki. Hivyo afya ya uke, hudhoofika na kuleta magonjwa kede. Pengine saratani ya kizazi.

Mapenzi siyo adhabu. Ni burudani. Kama amechoka azungumze na mwenzake.

Lakini kwa kuwa miaka inatofautiana sana, nadhani ndiyo maana hata anashindwa kumuambia.

Pili, huenda mwanaume naye anafanya kwa nia ya kukomoa ili kufidia matunzo anayotoa.

Wazungumze wakubaliane.
 
Ugoro utamuathiri zaidi yeye kuliko mwanaume.

Kwanza, ugoro huleta harufu mbaya sana ukeni.

Pili, husababaisha muwasho na kuua wadudu rafiki. Hivyo afya ya uke, hudhoofika na kuleta magonjwa kede. Pengine saratani ya kizazi.

Mapenzi siyo adhabu. Ni burudani. Kama amechoka azungumze na mwenzake.

Lakini kwa kuwa miaka inatofautiana sana, nadhani ndiyo maana hata anashindwa kumuambia.

Pili, huenda mwanaume naye anafanya kwa nia ya kukomoa ili kufidia matunzo anayotoa.

Wazungumze wakubaliane.
PREACH PREACHER
 
Mamdogo Penny
Money Penny enhe!
Mwana: niko na sugar daddy ila kama kijana daddy
money penny: kwanini?
mwana: penzi lake lanitesa sana, mwanaume anaenda kwa siku mara 3
money penny: ana umri gan
Mwana: na miaka 83
Money Penny: mkewe?
Mwana:alishakufa
Money penny: sasa shida ni mkewe au round?
Mwana: round mama utadhani ana miaka 20 buana,
Money Penny: au anatumia mkongojo, sijui mkongo sijui viagra?
Mwana: anatumia viagra ila hii kali,ni kama nalipia hela anazonipa, sijui nafanyaje kwakweli

haya wana, muje mumsaidie aafanyaje, penzi la suga daddy lamtesa!
aki-k0joa haraka ataanza tena kile kibabu kitakuja kunifia kifuani hakina hata nguvu dakika tano kimechoka
 
Back
Top Bottom