Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

Ukweli I am a great mother to them dear. Basi Tu nimeshikika dear, sikuwahi kuwaza nitafikia hapa, but I think hata nikiolewa na Kijana I can still be a good month to my beautiful children. like siwezi watelekeza dear.
Mwehu wewe. Mwanaume gani akubali mzigo wa watoto wanne?
 
Du... hapo sikushauri kitu.
Ingia shimoni mwenyewe!
 
Yani nimesoma alichokiandika mara mbili mbili Kama yupo serious hawa watu nimenyoosha mikono juu, yani yupo radhi kuharibu mti mwema aliopanda ukazaa matunda kanisikitisha sana.
Usisikitike!! Siyo kisa cha kweli, ni hadithi hiyo!! Hadithi kaitupia hapa jukwaani ili ajipime kama ana uwezo wa kutunga hadithi kwa kuangalia watu watakavyochangia! Hadithi yanyewe kajitahidi lakini bado hajafika kiwango!
 
Hapa ndio picha la kwanini wanawake wanapigwaga risasi,dah wanaume kazi ipo!
 
Weng mnahis dada anadanganya.. ila kuna uwezekano ni kwel

Wanawake weng wanaingia kwenye ndoa na watu ambao hawajawapenda... Weng wanaolewa lakin hisia za kwel hawana na wanaume wao.. ni ilimradi tu atoe nuksi .. kufurashisha jamii.. ila kiukwel hawa wafeel watu wao..

So inatokea anakutana na mtu ambae kampenda kwel.. ndo haya sasa...

Ndomana nawambiaga vijana hakikisha mwanamke anakupenda kwel.. ukiona mwanamke humwelew kama anakupenda au la usioe huyo utakuja gongewa..

Weng ni wahanga wa failed relationshps akishatendwa na anaempenda bas yeyote anaekuja mbele anaweza mwoa.. sasa tegemea mambo kama haya ya mtoa mada
 
Duhhhhh! Mbona unataka kurisk ndoa yako??? Kote ni yaleyalee tu bora utulie ndoani tu
 
Usisikitike!! Siyo kisa cha kweli, ni hadithi hiyo!! Hadithi kaitupia hapa jukwaani ili ajipime kama ana uwezo wa kutunga hadithi kwa kuangalia watu watakavyochangia! Hadithi yanyewe kajitahidi lakini bado hajafika kiwango!
Kiukweli nilisoma ikanibidi nirudie tena nikajisemea tu kwa hali hii hawa siyo watu. Ila kama ni kwa habari za kina Shigongo siyo mbaya
 
Tabia mbaya kama nyingine zote, na ukosefu wa nidhamu binafsi.
 
100%
 
Simulizi Nzuri sana, umejua kuweka nakshi nakshi za kutosha, keep it up
 
Nashangaa sana stori nyingi za wanawake wanafall in love na wanaume warefu na mahandsome...sijui kama ni kweli kwamba hawakutanagi na ugly short guys au vp.
 

We lishangazi mambo unayofanya na umri wako havifanani
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unawatoto wanne na bado unataka kukimbia ndoa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…