Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

Mapenzi ya style hii huwa matam sana 🤩 tatizo huwa yana kujilaum sana kama ulivyosema 'kwanini hukumjua mapema'.

Inawezekana ungemjua mapema usingepata raha hizo kama wahuni wasemavyo 'sinzia ni tamu kuliko lala' 🤣 unaweza kuvunja ndoa yako na ndio ikawa mwisho wa furaha yako. USITHUBUTU KUMUACHA MUMEO!

Furahia kwa wakati wako tafuta mbinu za kumwambia ukweli.

Huu ushauri wa kijinga ni kwa mke wa mwenzangu tu, sitamani itokee kwa mke wangu
 
Eeeh soo unamshauri kwamba kijanaa anyunyuzie mbolea kabisaa alafu mume abambikiwe mtoto😲😲😲😲
Wewe uliyeandika kwamba bibie amwambie kwamba ameolewa na ana watoto wanne ili waendelee na uzinifu wao,Mimi ndio nikaandika unahitaji kwenye ndoa yake apeleke mtoto wa nje ya ndoa🤷🏼‍♀️
 
Nimpe pole mumeo kwa kuoa kahaba
 
Hahahaaa nikisikia hizi stori kuna wakati nacheka na mara kadhaa nahuzunika. Nilwahi kuleta stori hapa ya kuzaa na mke wa mtu watoto watatu I was attacked like hell. Issue yangu ilikuwa tofauti niliingia kwenye mahusiano na mwanamke ambaye alikuwa ni single mother, in the long run it was hot mpaka mwanamke akataka nimfanye japo awe my side chick lakini nikamkatalia ila kwa hasira akaamua kuolewa na kubadili number. Miezi sita ya ndoa akanitafuta kwa ajili ya maongezi na ushauri kuhusu vitu ambavyo alikuwa anaona si vya kawaida kwa Huby wake.
Ghafla tukarudi tena kwenye mahusiano nakumbuka siku moja alinipigia simu na kunambia natamani mtoto lakini naona kama sishiki mimba tena au mme wangu anatatizo. Kwa kuwa yeye ni mfanya biashara nikamwambia siku ya kuja kuchukuwa mzigo apange kuja ikiwa ni zile siku anozoweza kushika mimba. Na kweli alikuja na we had a moment for some days na kwa kuwa alikuta mzigo kiwandani ni wakusubiri haikuwa shida sana kwa Mr wake.
Kwa bahati mbaya kwangu na nzuri kwake alishika ujauzito na akazaa mapacha. Haikuishia hapo akarudi tena kwa mimba ya pili kifupi ni kwamba amezaa watoto watatu nje ya ndoa.

Nimeamua kuandika kwa sababu umesema unafikiria kuzaa nje ya ndoa siyo wazo zuri baadae lina maumivu makali sana kwa pande zote mbili. Kuna wakati mwanaume uliyeamua kumzalia atakuwa anaumia na wewe utakuwa unaumia kuona kuwa kuna haki fulani ya huyo mtoto umeipokonya. Narudia tena kusema inaumiza kwa sababu kwa mfano mimi baada ya kusaidia huyu mchepuko wangu kupata watoto siku hizi nikimpigia simu hapokei.

Ilifika mahali mpaka nikawaza kuwa liwalo na liwe nikataka kujilipua mtandaoni kwa kueleza hili jambo na kutaja jina halisi la huyu mwanamke, mme watoto na taasisi anayofanya kazi mme ili nipate watoto wangu. Najua ingeenda kwenye issue ya kisheria lakini kwa hasira nilishafikiria kufanya hivyo. Baadae nikafikiria jamaa anaweza kuwaua mke na watoto wote ikawa shida nyingine. Au akaanzisha vita ya kisasi kwangu japo najua ingekuwa ngumu kunipata kwa vile niko mkoa tofauti na yeye.
Nakusihi kaa tunza familia yako hizi raha unazopata ni za muda tu kwa sababu mwisho wa siku ni huzuni. Wakati unaposema umemdanganya naye pia anakudanganya na siku akigundua una watoto wanne basi hutomuona tena na usishangae muda huo ukawa na watoto watano. Pia huwezi jua mmeo atapokea vipi huenda akawa ni wale wanaoamua kuwa bora tukose wote.

Please please don't try this at home. Naongea kutokana na uzoefu wa kuwa na watoto watatu under someone's roof.
 
Wewe uliyeandika kwamba bibie amwambie kwamba ameolewa na ana watoto wanne ili waendelee na uzinifu wao,Mimi ndio nikaandika unahitaji kwenye ndoa yake apeleke mtoto wa nje ya ndoa🤷🏼‍♀️
Kwani kugegedwa lazima abe e mimba...sii wanaenjoy tuu jjamaa anakojolea nje🤣🤣🤣
 
Ngoja tukuache tusije kuwa tunamshauri mtu kumbe ni kichaaa anaehitaji matibabu ya kiakili,. Hivyo hivyo unavyosema uko confused kwake ndo utakavyokuwa kuconfused zaidi siku ukiachwa nae ama siku ukijua ana mtu ambae ni mchumba wake wanaelink nae the same age mate ama below ya hapo
 
Kama kweli unampenda uliishawahi mpa tigo? Ukimpa tigo ndio tutajua kweli una.penda huyo mchepuko.
 
cocastic bwela kuni useme neno..!! Kuna mtu anatafuta kufyatuliwa risasi..!!
 
Mke mpumbavu hubomoa nyumba kwa mikono yake mwenyewe. Mithali 14:1.
 
Mm gorokonnadate na mke wa mtu mwanamke yule Yuko tayari ndoa yake ife ila hasiniache nashindwa kumuelewaga mpk sas hvyo uwenda Ni kweli kuwa umedat na dogo yule Kama m mwanamke yule alivyo data namm leo nimetoka kumfokea eti nae anaiomba msamaha kmmk yaani mpk nawaza nitaoa kweli kwa Hali hi ilivyo kwa ma'am huyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…