Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

Nyege zinakusumbua
 
Hii ni chai, lakini wanawake wajinga na wapumbavu wa aina hii pia wapo wengi tu huku kitaa, wanaotema big G kwa karanga za kuonjeshwa
Tena chai haina hata vitafunwa hii inaunguza bora angeipoza kwanza sasa hivi watu wanachukua story kutoka Facebook halafu wanauvaa uhusika.
 
Riski umeleta umemaliza Kaz mkuu naunga mkono hoja wanawake wapuuz Bado wapogo
 
Dah wanawake vipofu nyie jaman. Mungu akusamehe na akupe hekima.

Rudi kwa mmeo na watoto wako. Huyo hawezi kua na ww.
 
Usivunje ndoa yako please!!! Ni heri umfanye tu kama mchepuko
 
Mwambie ukweli tu ila mzalie mtoto
 
Jipeni miezi mitatu NYE. GE zenu zikiisha mtaelewa kama mnapendana kweli
 
Hatari sana aisee, huyu dada ni mpumbavu sijapata kuona!
 
Kama kuna malipo mseme na si tuanze kushusha stori zetu
 
Ungekua mke wangu adhab yako n nikumwagie maji ya moto usoni,na huko kwenye uchi wako,,alf bdo tuachane
 
Na kweli ndugu..!! Kama yeye ameweza kuficha watoto watatu, na mume mmoja, mwenzie anashindwa nini kuficha chochote..!?
 
Kama hii story ni ya kweli, basi wewe mwanamke ni JUHA na MPUMBAVU wa hali ya juu! 😡😡😡
 
Huwezi jua bidada mtoa mada wakati wa sex anapitishiwa ulimi Na kunyonywa kwenye njia yake ya haja kubwa, ndio maana kadata, natania to yeye Emoj
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…