Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

Ushauri wangu kwako [mention]Emoj [/mention]
Jifunze kusimamia ukweli na ukweli utakuweka huru.
Kuna mambo kadhaa ambayo nafikiri bado hujafanya tathimi vizuri ambayo huwenda mbeleni.
[emoji122]
 
Hii ni chai, lakini wanawake wajinga na wapumbavu wa aina hii pia wapo wengi tu huku kitaa, wanaotema big G kwa karanga za kuonjeshwa
Big G ikishaisha utamu kuendelea kuitafuna ni kujaza tumbo mate tu.
 
Ndoa ni utii wa kiapo kwa kuyashinda majaribu ya ngono nje ya ndoa yako na sio kutokupata tamaa ya ngono. Umepata tamaa ya ngono suala lililobaki ni ww na utii wa kiapo chako.
Ushauri wako happy umechelewa maaana hilo agano la ndoa ameshalivunja sema hapo atachotafuta ni kuwaweza watu wazi kwamba amevunja agano la ndoa.
 
Reactions: Tsh
Nlijua tukiwapiga watoto watatu kwisha jeuri yenu kumbe hata wanne bado tuu 😟😟.....sawa Am updated!!
 
Yaani hapa ndo wanawake hua mnafeli. Tatizo lenu mnaongozwa na hisia badala ya akili. Tumia akili kidogo hata tu kufikiri. Nikuhakikishie ukiingia kwenye hii mtego unapoteza wote. Mme wako atakuacha. Na huyo Kijana siku akijua wewe ni mke wa mtu anakupiga chini...

Sasa ni maamuzi yako. Ila wewe ni mwanamke mpumbavu sana Tena sana

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Daah ila nyie viumbe [emoji848]
 
Mke mtu kishavuliwa chupi [emoji22][emoji22]
 
Weka picha yako kwanza tuione ili tujue cha kukushauri.
 
Huu mbona km mwandiko wa my wife? Nitaua jitu wallah. [emoji35]
Your wife hawezi kuchepuka, halafu wanaofanya hawasemi....hawa wanaompa maneno Makali na kujifanya wanasikitika ndio ukute mabingwa wa michepuko.
 
Mnapoianza safari mnaanza kimya kimya without no one being noticed!, yakiwafika mnakuja kutafuta sympathy humu kwa jambo ulilojua kabisa mwisho wake utakuwa hivi. Binafsi naamini kila kitu tunachokifanya huwa tunajua matokeo yake ila tuna zi_fool mind zetu kwa kujidanganya wenyewe na kujipa matumaini hewa/ fake ili ku-fake the reality truth. Na huo ndio ukweli mchungu.
 
Follow your heart bt always remember to carry your brains with you,vua Pete irushe mbali,vunja ndoa then oelewa na huyo jamaa yako bt muda utaongea tu.

Kwenye ndoa yako mpya utakuja pigwa kitu heavyweight kichwani Hadi hutaamini.KARMA is real!
 
Kwanza pole, pili jipige kifuani sema mimi ni mjinga sana kuamini katika hila za shetani ikiwa ni kweli ulichoandika ndicho.

Haya ni maoni yangu sasa, kama umesema kijana ni fundi, basi hajaanza kwako, kama ni business partiner ipo uwezekano anakuvuna, usijidanganye na maneno ya atakuoa na mtoto wako mmoja, au anataka uende kwao, kwani kwenda kwao ndio nini?

Kwa mwanume its always a pride to bring women(chicks) home inaonyesha urijali asee, it's also one of marvelous sounds to women kama wewe, usijiaminishe sana kua hakujui, kama he is really into you lazima atakua amefanya background check pia, hua hatuoi kindezi, hasa sisi tulioenda class angalau.

Mwisho ni swali?, Kwa nini?, Mbona katika hali ya kawaida tu hasara ni nyingi kuliko faida?, Angalau ungesema mumeo ana issues flaniflani, wewe hutosheki kupigwa miti na ukatunza ndoa yako? Mbona ina thamani kuliko kupigwa mti? Je unakumbuka ulipotoka na huyo mume wako?

Je unadhani ungeweza kukutana na huyo kijana bila ya kua na huyo mume na maisha mliyopitia pamoja? Je umejaribu kumdadisi mumeo endapo angekutana na jaribu kama hilo angechukua hatua gani? Unaamini ni Mungu ndio amefanya hayo au shetani ndio anaekuyumbisha?

Kiufupi maswali ni mengi sana ila unachoenda kufanya kinahitaji busara kubwa sana.

Mungu akuongoze
 
Hisia ni mbaya sanaa, polee wewe ni binadam kama wengine wanao pitia jaribu lako.

Ukweli utabakia tyu kua ukweli , una watoto 4, mme unaye tena ndoa ya kanisani ..huo ukweli ukubali

Sawa utampa talaka kisa penzi la mvulana
Nafsi itakusuta hutaishi kwa amani


[emoji24][emoji24][emoji24] Hilo ni jaribu , yapasa ushinde, Mungu akutie ngivu
 
Fact
 
Sure...it hurts!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…