Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

Unleash the dragon,umalaya upo damuni.
 
Watoto wanne na hujapata akili bado? Wewe ni hasara kuliko hasara yenyewe.
 
Sijamaliza hata kusoma huo upuuzi naona ningepoteza muda mwanamke huna akili bora hata usingeandika huu upuuzi we ni malaya wala usizuge eti upo mbali na mmeo umeniharibia siku tu
 
Tatizo hakusoma uzi wako ule
 
wewe huna 32 years kuna uongo apo afu ukijua kumdanganya ujue unadanganywa pia,pia usisahau ulimtongoza ww so ulianza ww siku akimaliza usishangae
 
Utunzi mzuri sana mtafute Ally Yakuti na Bishop Hiluka muandae Movie.
 
Wanawake ni tatizo Sana aisee

But huwa nashindwa kuwafanyia upumbavu

Wanawake ni viumbe vikatili mno aisee
 
kwa maelezo yako nahisi utakuwa dada fulani wa mbagala saku una zaidi ya miaka arobaini ila ujinga umekujaa.
 

Habari ya kupiga hivyo vitoto ITAKUTOKEA PUANI,UTAPOTEZA HESHIMA AU KUOZEA JELA
 

Safi kabisa..huo ndo ujasiri buana[emoji1487][emoji1487][emoji1487][emoji1487][emoji1487][emoji1487][emoji1487]kila la kheri kwenye maisha yenu na kijana we enjoy tuuu maisha mafupi haya...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…