Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

A tea without ginger
 
Aise[emoji22][emoji22][emoji22]wanawake Mungu atusaidie
 
Mzalie tu "Mr ELITE", mme wako si unamuona "FALA"...😆.Mpaka unakuja kuandika hapa baada ya kuchanganywa na kitombo cha "ELITE PACKAGE"...
Miaka 32 unajiona mkubwaa lakini huyo 28 Kijana na unamuona dogo(SAA YAKO KICHWANI IMEPOTEZA MAJIRA).😆

Mmeo umeshamuona FALA lakini ndio ELITE(kwa kuamua kukuruhusu ufanye shughuli positive, na huyu dogo na sifa ulizompa ni FALA.

PROOF: kashindwa kung'amua kama umeolewa na una watoto zaidi ya mmoja. Unataka kumuanzisha na mechi ya 4-0😆,compesation unayo ya hiyo(MIHELA)?

NDIO HAWA HUWA WaNafiRW** huku wanalia nilikuwa sijui kama ameolewa😆😆....Goddamn, you had to do some prior research before or after hit that puss* at a safe place.

TIP:Mmeo sio FALA kukuruhusu uende kazini sababu uchumi umecheza kidogo,hizo risk alizi calculate, na anakujua.
We pigwa mti huko tunza heshima, ukirudi kwako komaa na mme wako but ni risk.
 
Mmhh mmmh! , anyway!
 
Sijafanikiwaga kusoma comments zote ,but ninachojiuliza hadi leo ni hasira zilikuwa za nini my good people [emoji16][emoji16]. Mko tooo hard like too hard.
 
AKAZAE TENA WANNE AKUTANE NA KIJANA MWINGINE AVUNJE AZAE TENA WANNE. AKIFIKISHA DOZEN ATATULIZA MBUSUSU
 
KATAA NDOA KWA MSITAKABALI WA AFYA YAKO YA AKILI ,WE TAFUTA WA KUZALISHA AFU KULA SEPA,KUNA JAMAA HAPA KAWA KAMA MWEHU SABABU YA STRESS NA PRESHA JUU,AMETARAKIANA NA MKE WAKE SASA WAMEGAWANA VYUMBA ,MWANAMKE NI FULU KUGONGWA NA VITOTO VIDOGO KWENYE NYUMBA ALOIJENGA MWENYEWE SAA JAMAA YA MEMSHINDA AMEKUWA MWEHU
 
Hakuna cha hujawah kuwaza kumcheat mmeo sema tu ulikuwa hujapata nafas ya kufanya hvyo we ni ma-lier Since ulivyovua pete ya ndoa before the first meet usitumie vijisababu kutetea upumbavu na ujinga uloufanya mwili wako na hisia zako vinaongozwa na tamaa ulizonazo za mafanikio unapenda waliofanikiwa bila kujua wamepitia wapi nawe komaa upate vyakenu na mmeo tofaut na hapo utaliwa tu na hautaolewa nae NIKUTAKIE UDANGAJI MWEMA TILL DEATH
 
Hasira za nini Jamani?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…