Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

amka usije kukojoa kitandani
kemea kabisa. very soon utawapoteza wote
 
Mwandishi ni mwanaume wa kataa ndoa, analenga kuchafua ndoa ili kuvunja moyo wanaume wasiheshimu ndoa.
Ushindwe kwa jina la Yesu
 
Yaani kila nikianza kupata fikra za kutaka kuoa, nakuta kisa hapa JF ambacho kinanikumbusha acah ufala kijana hawa wanawake ni wakuwagegeda tuu sio kuoa na kuweka ndani.
Story za uongo hizo zinalenga kuharibu fikra za vijana kuhusu ndoa, naona wamekupata.
Hakuna kitu cha muhimu kwenye maisha kama familia nzuri yenye upendo, na familia nzuri inajengwa na ndoa nzuri, wanaopinga ndoa hawakutakii mema.
 
Maana hizi ni sahihi

Mungu = Shetani

Mwenyezimungu = Mwenye Enzi na mamlaka anaefaa kufatwa mwongozo wake.

Hivyo unaposema Mungu anakushuhudia, huyo ni shetani. Na unafata njia yake.

Ukisikia ukafiri ndio huo unaoufanya.
 
Nimefatilia Kwa makini sana mada yako na ulichokiandika na hakika ni kweli.

Sema kwa ushauri wangu maumbile ya mwanamke hayawezi kumiliki zaidi ya mmoja na ukafanya sawasawa,na kwasababu ulishamzalia watoto 4 hata yeye wivu kwako ushapungua inabaki tu kulindiana heshima.

Sasa nini cha kufanya, NASEMA HIVI KWENYE SUALA LA NDOA YA MTU HUWA NAMUACHIA MWENYEWE.



MAGUFULI4LIFE.
 
Kabisa mkuu. Kataa ndoa kwa mawazo, Maneno na matendo. NDOA NI UTAPELI
 
Aisee..Kwa staili hii,nipo nipo sana..Hawa wanawake waliozaliwa kuanzia miaka ya 1985 ni hatari sana..
 
Asante sana Mkuu ushauri wako nimeupenda
 
Penzi la kuiba ni tamu sana shetani huwa analikalia kweli kweli. Penzi jipya pia lina nguvu kubwa na ni tamu sana! Give it time ukishamzoea utaachana nae, kamwe usitelekeze familia yako. Family is blessing from Almighty so stick to your family.
 
Ndoa na iheshimiwe na watu wote...biblia inasema...kinacho kutokea sio mapenzi bali ni tamaa ya ngono imewaka juu yako..Tamaa huzaa dhambi na huzaa Mauti...
 
Wewe ni pepo.umemsifu mme wako wa ndoa halafu wataka kumwacha.huo ni ubinafsi,fikiria watoto wako
 
Inauma sana.mimi Kuna siku nilicheat na mke wa mtu,aisee roho iliniuma Sana na nikawa full stressed.Mke wangu alijua nina stress,akanibembeleza nimwambie Kuna shida aweze kunisaidia.Niliingia udhaifu ikabidi nimwambie.Alinuna kidogo baade akanisamehe na wakawa mabest na yule mchepuko wangu ila sikurudia kusex naye tena
 
Waliojaa kwa mwamposa wote walichezea ndoa zao kwa akili kama zako
 
Kabla ya kuvuta chupi yako kwa mchepuko tafakari dk 2 uwaze kuhusu hatma ya watoto wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…