People living around Mt. Kilimanjaro


BORING!Kila mtu anaanzisha hii post ikiwa na kichwa tofauti.Ingekua utani ningesoma nipite ila kwasababu unaonekana uko serious na unaongelea kitu unachokijua ngoja nikuulize maswali kuhusu hayo madai yako!

1. Umeuona uchi wa mwanaume wa KISIHA ukajihakikishia usemayo ama anatafuta tu namna yakujiongezea post??

2.Umewahi kuwa na uhusiano na mwanamke wa KIMACHAME akakwambia umpe pesa kabla hamjaanza tendo la ndoa?Ama akakukatisha katikati???

3.Umewahi kuwa mmoja wa washiriki katika hivyo vikao vya kina mama wa KIKIBOSHO ukasikia hayo maongezi au ni maneno yakuokota hapa na pale??

4.Umewahi kushiriki kikao cha pombe cha wazee wa KIURU ukaona wanavyosimama na kusali???Na hao wanaoeleza habari za shule tu hata kama ni kweli.....ubaya uko wapi???

5.Umewahi kwenda OLD MOSHI ww??Na wewe ni nani kuamua kwamba hamna wanawake wazuri kule??

6.Waongo wote wamezaliwa MARANGU au na WAMARANGU??

7.Ulishauwawa na MROMBO ww??

8.Umewahi kuwa na uhusiano na mwanamke anaetokea KIRUA??

Kama ulianzasha hii thread kama utani, then you shouldn't have coz it's been said too many times already.Kama ulikua siriaz kama nilivyoona mm , acha uzuzu maana hamna kitu kama ulichosema.
 

hahahaa hii imenichekesha sana ...kumbe wanaume wa kimarangu waongo eeh?
 
punguza hasira mama!inaonekana wewe ni wa-machame😀😀
 

Mommy acha jazba sio kila kitu ni serious JF
 
 
Mnaotoka chini na Mlima Kilimanjaro naombeni thanks duuuuuuuuuuuuuuuuu!


Nimekupa SENKSI kule chini. kwa condition moja yule aliyekuwa naonyesha interest kwangu halafu kwa sababu ya sredi yako akabadilisha mawazo itabidi mawazo hayo yaahamie kwako.....ushanifahamu?????
 

Get panadol and plenty of water! maumivu yakizidi muone mganga wa kienyeji! Sorry sikujibu hata swali moja!
 
Get panadol and plenty of water! maumivu yakizidi muone mganga wa kienyeji! Sorry sikujibu hata swali moja!

Mpwaz huyo anatake kila kitu serious.....hajakufaham bado....naona apo unakumbushia prescriptions tu lol
 
Mpwaz huyo anatake kila kitu serious.....hajakufaham bado....naona apo unakumbushia prescriptions tu lol

zimemchosha kweli, sikuhizi anatoa hata feki.....hujaanza kusema ugonjwa kisha maliza kuandika dawa....
haaaaaaaa watamkoma................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…