People living around Mt. Kilimanjaro


Hapo kwa Warombo umenikumbusha mbali sana, nilibahatika kuishi huko kwao kwa miaka takribani minne hivi, sifa yao moja ni kwamba ni wakarimu na wachamungu sana kwakweli sijawapatia mfano wao, wanawake wa kirombo wanalima kama trekta wakati waume zao wanashinda kwenye mbege tu, hawa ni wakulima wazuri sana lakini wakati wa ukame wao ndio wakwanza kulia njaa.
 
Naona Invisible anahitaji Ban. Haiwezekani afanye vile. Ntakuwa wa kwanza kufika.
hehehe!ngoja kesho ifike.ZUMA popote ulipo,kama unatusoma,kesho BE THERE😀😀
 
ignore list...continua

Hehehehehe na ukiniweka kwenye hiyo list naathirika kivipi? Unaandika vitu hapa ukiombwa ushahidi unaingia mitini. Ngoja huyo mchaga mwenzio ayasome haya unayoyaandika huku halafu aamue kukutosa ndiyo utaonja chungu ya jiwe.
 
Hehehehehe na ukiniweka kwenye hiyo list naathirika kivipi? Unaandika vitu hapa ukiombwa ushahidi unaingia mitini. Ngoja huyo mchaga mwenzio ayasome haya unayoyaandika huku halafu aamue kukutosa ndiyo utaonja chungu ya jiwe.

bahati nzuri yumo humu humu na kasoma yote na kaelewa.....need I say more!!
 
Aiseee babaaanguee...umeanzisa fita sioee..
Mi ntakusupiria hapa Sango rodi..huko Ulara ufiki aisee!
Lulekupaaeee...mpaka uimbe wimbo wa kwanza!
Ambuya ulao isembo.

Nitapita njia sile za uchocho ...uchoroni kweli alawa! Utaona fumbi tu! teh teh teh
 

Mkuu,nitake radhi!
 
Huu kweli ni uchunguzi wa kina,lakini kuna suala la ushirikina kwa kina mama kuua waume zao wenye pesa ili walisi mali.je hili nalo linaangukia wapi?
 
Hehehehehe na ukiniweka kwenye hiyo list naathirika kivipi? Unaandika vitu hapa ukiombwa ushahidi unaingia mitini. Ngoja huyo mchaga mwenzio ayasome haya unayoyaandika huku halafu aamue kukutosa ndiyo utaonja chungu ya jiwe.


Watu hawachukulii maisha serious au magumu namna hiyo mkuu.
 
bahati nzuri yumo humu humu na kasoma yote na kaelewa.....need I say more!!

Labda hakutoshelezi ndiyo maana kaelewa, ingekuwa ni mwanaume rijali wala usingehangaika na vijamaa vyako vinavyoishia kuomba maji huku ukisema na huyu naye? Angekuwa rijali uliyoyaandika hapa naye kuyasoma basi yangetosha kabisa kukutosa.
 
Labda hakutoshelezi ndiyo maana kaelewa, ingekuwa ni mwanaume rijali wala usingehangaika na vijamaa vyako vinavyoishia kuomba maji huku ukisema na huyu naye? Angekuwa rijali uliyoyaandika hapa naye kuyasoma basi yangetosha kabisa kukutosa.

wewe nahisi ni mkazi wa kwa mtogole si bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…